Yeye sio mchaga.Mkuu,
Hamia CRDB baada ya hiyo a/c kufunguliwa!
Mimi hela zangu huweka kwenye kibuyu,nikisafiri naweka kwenye soksi au sidria ya mamsap,siweki hela yangu benki bana kwanini ninyanyasike wakati hela yangu mwenyewe ati benki initunzie ah wapi natunza mimi mwenyewe,hakuna cha makato ya ATM wala service charge,hela yangu ,mnikate riba halafu mufanyie biashara(siku hizi benki zinaikopesha serikali) halafu mimi naambulia sifuriajabu sasa hao customer care
eti na wao hawajui kwanini akaunt imefungwa
nilichukia sana, nikaja
home kulala tangu sa 6 ndo naamka sa hizi
akili kidogo imepunguza
maumiv nasubiri j3,
ntahamisha vijisenti vyangu bora nivitie
kwenye kibubu! Yaani imenibidi ile senti niitupie hapo m pesa mpaka j3
maana kwa hasira zile
karibu niingie makalio bar nkazigide
ni wajibu wao kunialart
na kunijuza hizo terms zao ukifika pale lets say ni mtu wa elim ta kawaida tu unakuta liform limeandikwa madubwana ya ajabu ajabu, unaambiwa ucopy na kupaste yes no na blablabla,,kama umekusanya hela zako za viazi mbatata huko unajiwekea tu mwisho wa siku ndo ujinga huu!
Kwan sim email na adress zetu wanachukuaga za nini?kwaninihawakuninotfy?
Huduma za bank Tanzania bado mbovu sana, najisikia afadhali kidogo kwa sasa nimehamia FNB nimefurahiwa na huduma zao, CRDB walishanikorofisha na ushamba wao. Customer care za Bank ni bure tu ni wapumbavu hawana majibu ya kutosheleza wapo wapo tu halafu wajeuri utafikiri hiyo huduma wamelazimishwa na hawalipwi, kumbe wanalipwa. Ushauri wangu mkuu ni bora hangaika na hakikisha unapate hivyo vijisenti vyako na ukivipata tu toa vyote na funga account katafute bank unayoona huduma zao ni nzuri, achana na hizo Bank uchwara.
Mimi ni mmasai mkuu, nitakuazima sime yangu siku hiyo uende nayo.ninyamazee wakati
that account is my life! Sina nyngne nilishidwa kufwatilia
jana sbb nilifika pale ubungo mida ya sa 5 na since ilikuwa j.mos
sa 6 wanafunga, j4
nadhani watanipa na lunch palepale
Makalio bar?iko wapi?Mxajabu sasa hao customer care
eti na wao hawajui kwanini akaunt imefungwa
nilichukia sana, nikaja
home kulala tangu sa 6 ndo naamka sa hizi
akili kidogo imepunguza
maumiv nasubiri j3,
ntahamisha vijisenti vyangu bora nivitie
kwenye kibubu! Yaani imenibidi ile senti niitupie hapo m pesa mpaka j3
maana kwa hasira zile
karibu niingie makalio bar nkazigide
mkuu,
hamia crdb baada ya hiyo a/c kufunguliwa!
nenda kuwahoji huku umeshika shoka watakuwa na majibu ya outflows ya hela zako.
na wewe ulitoka wapi na vibenki uchwara hivyo?
atm ya crdb temeke hospt iliishka kadi yangu,nkaenda vjana nkapewa,wakasema haifai,nikaenda udsm ambako nimefungua,wao wakasema nifate new card afta 14 days,mpaka jana saa 6 mchana hawajanitext,najipanga kesho nikapate breakfast na lunch pale,maana napata adhabu nisostahili,binafs sijawai kupata benk icyo na usumbufu!
heheheheee my god
chini ya godoro
tengeneza kibubu bwana
ukifika ukiona hawaeleweki waambie nataka kuongea na manager! Unaweza kuazima binduki yangu, ila ukitumia risasi utazilipia tafadhali. Pole sana
mimi ni mmasai mkuu, nitakuazima sime yangu siku hiyo uende nayo.
makalio bar?iko wapi?mx
lazima wakushtukie kwa sababu unaweka pesa tu bila kutoa kwa miezi 6!
lazima wakushtukie kwa sababu unaweka pesa tu bila kutoa kwa miezi 6!