Yamenikumba....

Yamenikumba....

He he he, ngoja baresa akilazwa niongee na madokta wamkamue afu nizipeleke Morogoro, mtaniona na Lirenji limeandikwa 'Konnie'
We bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi wakati unaishi karibu na mbuga ya Mikumi, ataingia simba....
 
Tena wewe unayenikatisha tamaa sitakaa nikupe lift katu

Hivi matajiri wengine ni akina nani? Itabidi nianze ushosti na manesi wa hopital za matajiri ili wawe wananipa updates nani kalazwa

We bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi wakati unaishi karibu na mbuga ya Mikumi, ataingia simba....
 
Tena wewe unayenikatisha tamaa sitakaa nikupe lift katu

Hivi matajiri wengine ni akina nani? Itabidi nianze ushosti na manesi wa hopital za matajiri ili wawe wananipa updates nani kalazwa
Angalia, hala hala na hao manesi.... Kama ulimchukulia kijamaa chake au cha rafikiye wakati mkiwa shule ndo unakuwa muda wa kulipiza kisasi... Anakupa manii za kichaa aliyetoroka milembe.... na baada ya hapo kicha anakuganda mwanzo mwisho tena akiwa ahana nguo kabisaa.
 
Mkome kuparamia hovyo. ulitumia condom kwa siku ya kwanza alipokuweka kwenye chungu kavukavu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom