Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,383
- 4,412
Nawatahadhirisha Wanaume wa Jf wote kua endapo watakua na wapenzi wa nje wawe makini sana, baada ya tendo hakikisheni kondom ulotumia unaitupa toilet na una flush.
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo.
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua,nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa.
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo.
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko.
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??
Kuna msichana ambaye niko naye karibu miezi 8, kuna siku baada ya sex (mwanzoni) nataka kutupa condom akaichukua na kuanza kuiangalia, nikamuuliza kwa nn anafanya hivyo, akanijibu kua anataka kuona ujazo wangu ukoje....nikaenda toilet na sikujua alipoiweka ile condom, nilipatwa na wasiwasi kidogo.
Huyo msichana alikuja kunitawala sana, nikawa nampa mapesa mengi na vitu vingi vya thamani bila kujijua,nikaanza kushtuka kua mambo ninayoyafanya sio sawa.
Juzi nikaona ngoja nimpigie shoga yake na kwa kua wamegombana nikajua ataweza kuniambia kama kuna jambo.
Akaniambia kua amewahi kumwambia kua alichukua shahawa zangu na kuzipeleka kwa mganga Morogoro kijijini na ni kweli mara nyingi nimeongea naye huniambia yuko Moro lakini hakutaka nijue yuko na shughuli gani huko.
Ninajitahidi sana kumuepuka, lakini huwa ananiibukia na akitaka kitu huwa nashindwa kumkatalia.
Naombeni ushauri wenu na hivi mmewahi kusikia haya mambo??