Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
Anajiaandaa kwenda kwa askofu Gwajima kwenda kutubu, dhambi ya kuhusika katika kupanga tukio la kumteka Dr, na kumtuma yule mkenya chizi aende kwenye kanisa hilo ili akaigize kuwa ndiye aliyemteka Dr!! Kova anaamua kwenda kwa Kajima kutubu baada ya kugundua ile movie yake na mkenya aliyoiandaa imeshindikana kabisa kuuzika kwa wa-TZ ambao sasa hivi wamejanjaruka na wameapa kuwa hawadanganyiki tena!!!!!