Yamempata yapi Suleiman Kova?

Yamempata yapi Suleiman Kova?

bdo

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2006
Posts
5,811
Reaction score
2,430
Kabla na baada ya tukio la kutekwa na kujeruhiwa vibaya kwa Dr.Ulimboka, hapo usiku wa kuamkia June 27 mwaka huu na hata baada ya tukio hilo, tuliweza kusikia matamko na kauli mbalimbali kutoka katika makundi na watu tofauti, kama vile, viongozi wa serikali, dini,vyama vya siasa, wanasiasa,n.k akiwemo Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova. Jambo ambalo halipingiki ni kuwa mbali na tukio la Dr.Ulimboka na hata kabla ya tukio hilo, Kamanda wa Kanda (Dar) ndg. Suleiman Kova alikuwa akisikika sana katika vyombo vya habari, akiwa anatoa taarifa mbalimbali za hali ya usalama katika eneo lake la kazi, ingawa tukio la Dr.Ulimboka lilimfanya Kamanda Kova kuwa maarufu (afahamike)zaidi ya alivyokuwa hapo awali.

Ila ni kipindi kirefu sasa, kamanda huyu amekuwa kimya sana, haonekani na wala hasikiki kwenye vyombo vya habari kama ilivyokuwa kawaida yake? Je ni mambo gani yamempata Kamanda Kova, amekwenda masomoni kuongeza ujuzi? Anaumwa? (ninampa pole), Amestaafu? yupo likizo amesafiri? amehamishwa? ama cheo chake kimefutwa?Tafadhali mwenye habari na Kamanda wetu atujuze.
 
Ana fanya meditation maana amebaini kuwa watz wamegundua kuwa kati ya maneno yake kumi, nane ni ya uongo. Hivyo ameenda kujipanga ili akirudi aweze kuwa mpya.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
sugu alimuambia filamu yake wananchi bado hawaielewa arudi tena studio akarekodi upya, ndio yupo studio anarekodi upya filamu yake khs ulimboka.
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Kabla na baada ya tukio la kutekwa na kujeruhiwa vibaya kwa Dr.Ulimboka, hapo usiku wa kuamkia June 27 mwaka huu na hata baada ya tukio hilo, tuliweza kusikia matamko na kauli mbalimbali kutoka katika makundi na watu tofauti, kama vile, viongozi wa serikali, dini,vyama vya siasa, wanasiasa,n.k akiwemo Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova. Jambo ambalo halipingiki ni kuwa mbali na tukio la Dr.Ulimboka na hata kabla ya tukio hilo, Kamanda wa Kanda (Dar) ndg. Suleiman Kova alikuwa akisikika sana katika vyombo vya habari, akiwa anatoa taarifa mbalimbali za hali ya usalama katika eneo lake la kazi, ingawa tukio la Dr.Ulimboka lilimfanya Kamanda Kova kuwa maarufu (afahamike)zaidi ya alivyokuwa hapo awali.

Ila ni kipindi kirefu sasa, kamanda huyu amekuwa kimya sana, haonekani na wala hasikiki kwenye vyombo vya habari kama ilivyokuwa kawaida yake? Je ni mambo gani yamempata Kamanda Kova, amekwenda masomoni kuongeza ujuzi? Anaumwa? (ninampa pole), Amestaafu? yupo likizo amesafiri? amehamishwa? ama cheo chake kimefutwa?Tafadhali mwenye habari na Kamanda wetu atujuze.
Alikuwa kwenye mfungo wa ramadhani hivyo aliachana na mambo ya dunia
 
Anajaribu kusoma upya scripts ya picha ili aweze kurudi studio kutengeneza ile movie upya kwani stelling(DR) kagoma kufa na Mulundi nae ni insane kwa hiyo hawezi kushitakiwa kwa hiyo Producer Kova ana-re-write scripts upya.Soon he will be back with new story lines sasa hatujui kama DR atakubali kucheza hii movie tena lakini huenda wanataka wamlipe hela nzuri zaidi kwani anaendelea kuishi
 
Si walisema angeongea leo na press? Da inaonekana hajaongea maana ungekuta imeshatua hapa? Ataongea lipi tumuelewe?
 
Aiseee baba yangu huku kwetu rombo hakuna anayemwamini tena sijui huko mjini dar kama mnamwamini???

Ngoja niagize mbege huku nikingoja part 2 ya filamu
 
  • Thanks
Reactions: bdo
Nasikia yuko visual lab anamalizia kilke part 2. Ila inasemekana ni kazi sana kuitengeneza kwani mmiliki wa visual lab anahoji maswali mengi na hataki kuja kuchafuliwa km alivyochafuliwa mtumishi wa mungu ila ameahidiwa mkono wa maana zaidi ya ule aliochukua zitto kutoka ccm
 
Ana fanya meditation maana amebaini kuwa watz wamegundua kuwa kati ya maneno yake kumi, nane ni ya uongo. Hivyo ameenda kujipanga ili akirudi aweze kuwa mpya.

mimi nafikiri yote kumi ni ya uongo, Kova hajawahi kusema neno la ukweli hata moja!
 
The Kova, jamaa hajatulia huyo na sidhani kama uwezo wake darasani ulikuwa vpi! Au kama ilivyo kwa mapoliccm, elimu ya kutafuta, ukiwauliza vyeti wachache sana wataleta. Ukiwa na watu kumi kama Kova, ujue inch inauzwa.
 
Mwacheni atubu madhambi yake ya Udanganyifu kisha atarejea kazini kufuata Maovu wanayotaka Magamba... haya Maisha kuna watu watajuta kwa mwenyezi Mungu siku ya Kiama
 
Kabla na baada ya tukio la kutekwa na kujeruhiwa vibaya kwa Dr.Ulimboka, hapo usiku wa kuamkia June 27 mwaka huu na hata baada ya tukio hilo, tuliweza kusikia matamko na kauli mbalimbali kutoka katika makundi na watu tofauti, kama vile, viongozi wa serikali, dini,vyama vya siasa, wanasiasa,n.k akiwemo Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova. Jambo ambalo halipingiki ni kuwa mbali na tukio la Dr.Ulimboka na hata kabla ya tukio hilo, Kamanda wa Kanda (Dar) ndg. Suleiman Kova alikuwa akisikika sana katika vyombo vya habari, akiwa anatoa taarifa mbalimbali za hali ya usalama katika eneo lake la kazi, ingawa tukio la Dr.Ulimboka lilimfanya Kamanda Kova kuwa maarufu (afahamike)zaidi ya alivyokuwa hapo awali.

Ila ni kipindi kirefu sasa, kamanda huyu amekuwa kimya sana, haonekani na wala hasikiki kwenye vyombo vya habari kama ilivyokuwa kawaida yake? Je ni mambo gani yamempata Kamanda Kova, amekwenda masomoni kuongeza ujuzi? Anaumwa? (ninampa pole), Amestaafu? yupo likizo amesafiri? amehamishwa? ama cheo chake kimefutwa?Tafadhali mwenye habari na Kamanda wetu atujuze.

Kova uongo haukubaliki hata baada ya ramadhan kupita.umetegea imepita ndo unataka kupiga nyundo ukweli?itakutafuna mpk mwisho
 
Nazani atakuwa anajitathmini maana ni aibu na fedhaha kuupika uongo juu ya kitu ambacho watu wana taarifa nacho
ata kama ameambiwa aseme na wakubwa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom