Babkey
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 4,838
- 3,674
Unasema!!!!!?Daah yani babu aliwapiga watu na ma phd yao kudadeki babu inabidi apewe degree ya heshima.
Unasema!!!!!?Daah yani babu aliwapiga watu na ma phd yao kudadeki babu inabidi apewe degree ya heshima.
Yalipata kiki kama kikombe cha Babu wa loliondoKulikuwa na wimbi kubwa la matangazo na mauzo ya mayai ya ndege mdogo aina ya kware. Mayai yake yalisifiwa sana na kushawishi watu wengi kuyatumia. Wapo hata walioanza na kuimarika katika ufugaji wa kware.
Mayai ya kware na ufugaji wa kware kwa ujumla vimeishia wapi?
We usitake wakani.romaUnasema!!!!!?
Naye alipata dosage?Hahaha tuanze na mkuu mwenye cheo kikubwa..
Mbona picha zake zipo akiwa kala suti ya fundi pima kiuno kwingine kadiria kitambaa kisibakiNaye alipata dosage?
Sent from my Lenovo A2010-a using JamiiForums mobile app
Tatizo lililopo ni kuwa mamruki wa vitu. Huwa tukisikia kama dili fulani linalipa basi wote tunataka kufanya hilo dili bila kujua kwamba wengine inabidi tubaki wahitaji wa hizo bidhaa. Inafika sehem kila mtu ana mayai ya kwale, unamuuzia nani sasa??
Teh tehWe usitake wakani.roma
kware anapigwa menu kali ya kuku broila. Halafu eti tiba! kweli kuna watu hamnazo!Kulikuwa na wimbi kubwa la matangazo na mauzo ya mayai ya ndege mdogo aina ya kware. Mayai yake yalisifiwa sana na kushawishi watu wengi kuyatumia. Wapo hata walioanza na kuimarika katika ufugaji wa kware.
Mayai ya kware na ufugaji wa kware kwa ujumla vimeishia wapi?
Projects za hawa jamaa ni pasua kichwa.Mkuu jiulize hii habari ilianzia wapi?
Ilianzia namaingo business agency.
Sasa waliamia kwenye sungura na kilimo cha madodoki....
Namaingo Mungu anawaona yani watanzania wanadanganywa daily
Post bora kabisaKama alivyoishia Babu wa Loliondo.
Tanzania tunasumbuliwa na tatizo kubwa la "uelewa mpana wa mambo ya kawaida". Kwa hiyo watu wenye nia ya kujitajirisha hutumia "ujinga" wa walio wengi kujineemesha. Wanatengeneza matatizo ya kiafya akilini mwa watu, na kisha huja na "solutions" kwa ajili ya matatizo hayo baada ya kuona wananchi wametishwa na hayo "matatizo yao".
Ushauri wangu ni kuwa sisi tulio wazazi wa kizazi kipya, tuwasisitize watoto wetu kujifunza na kuitafuta elimu pana ya maisha yao. Tusiwakomalie tu kujifunza mkondo wao wa elimu husika maana watajikutwa wanadanganywa na watu wa upande ule mwingine. Tusisitize holistic education ili kuwakinga na wanyonyaji wa kizazi kipya kama wauza mayai ya kware, kikombe cha babu na bibi na shangazi, na wauza dawa ambapo dawa moja inaweza kutibu hata magonjwa 150 yakiwemo ya kuambukiza, yasiyoambukiza, ya virusi, bakteria, protozoa, mzio, auto-immune, n.k. Yaani magonjwa yasiyohusiana kwa namna yanavyojengeka, namna yanavyodhihirika na kuathiri mwili wala namna yanavyotibika yote unaambiwa yanatibiwa na dawa moja tu.
Tukiokoe kizazi kijacho ndipo hata taifa litapata maendeleo.
UmetishaDaah yani babu aliwapiga watu na ma phd yao kudadeki babu inabidi apewe degree ya heshima.
Kama alivyoishia Babu wa Loliondo.
Tanzania tunasumbuliwa na tatizo kubwa la "uelewa mpana wa mambo ya kawaida". Kwa hiyo watu wenye nia ya kujitajirisha hutumia "ujinga" wa walio wengi kujineemesha. Wanatengeneza matatizo ya kiafya akilini mwa watu, na kisha huja na "solutions" kwa ajili ya matatizo hayo baada ya kuona wananchi wametishwa na hayo "matatizo yao".
Ushauri wangu ni kuwa sisi tulio wazazi wa kizazi kipya, tuwasisitize watoto wetu kujifunza na kuitafuta elimu pana ya maisha yao. Tusiwakomalie tu kujifunza mkondo wao wa elimu husika maana watajikutwa wanadanganywa na watu wa upande ule mwingine. Tusisitize holistic education ili kuwakinga na wanyonyaji wa kizazi kipya kama wauza mayai ya kware, kikombe cha babu na bibi na shangazi, na wauza dawa ambapo dawa moja inaweza kutibu hata magonjwa 150 yakiwemo ya kuambukiza, yasiyoambukiza, ya virusi, bakteria, protozoa, mzio, auto-immune, n.k. Yaani magonjwa yasiyohusiana kwa namna yanavyojengeka, namna yanavyodhihirika na kuathiri mwili wala namna yanavyotibika yote unaambiwa yanatibiwa na dawa moja tu.
Tukiokoe kizazi kijacho ndipo hata taifa litapata maendeleo.
Asante Mama!= mamluki