Yameishia wapi mayai ya kware na ufugaji wa kware?

Yameishia wapi mayai ya kware na ufugaji wa kware?

Kwangu yapo kwa wale wanaohitaji karibuni. Kware na mayai yake..Sungura..kuku wa aina zote isipokuwa broila na wa mayai. Na kuku kuchi pia wapo. Karibuni..0777362964 whatsap tu.

Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
 
Mkuu jiulize hii habari ilianzia wapi?
Ilianzia namaingo business agency.
Sasa waliamia kwenye sungura na kilimo cha madodoki....
Namaingo Mungu anawaona yani watanzania wanadanganywa daily
Hahaha ni bora kulima tembele tuuuu

Sent from my GT-S5312 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom