Kwangu yapo kwa wale wanaohitaji karibuni. Kware na mayai yake..Sungura..kuku wa aina zote isipokuwa broila na wa mayai. Na kuku kuchi pia wapo. Karibuni..0777362964 whatsap tu.
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
Mkuu jiulize hii habari ilianzia wapi?
Ilianzia namaingo business agency.
Sasa waliamia kwenye sungura na kilimo cha madodoki....
Namaingo Mungu anawaona yani watanzania wanadanganywa daily
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.