Ccm ni mbaya kuliko hata shetani.
Ulilewea rambirambi ya Mwangosi. Laana inakuandama popote ulipo
Walimu wa division V hawa.NO, no you cannot be mwalimu! mwalimu gani hujui kuwa ulitakiwa useme " you are right", unaandika your right! the two sentences do not mean the same!
Ccm ni mbaya kuliko hata shetani.
Hao makanjanja wako wataishia kutokwa povu majukwaani tu, urais haupatikani kama uchungajiHuna lolote,mburula tu ww.C tunamtaka uyo Mizengwe ndo ang'oke,ukiongeza na Mulogo na Kawambwa wake,wananikera xn.Ww endelea kuganga njaa zako bt naamin CDM ikchukua nchi 2taenjoy wote.
Cjajua unamaanisha nini lakini kuwepo kwa upinzani kumesababisha wabunge hata wa CCM kuwa na umakini kiasi fulani kwa hiyo unapomsifu CCM kumbuka CDM ndio pushing Factor yao kwa hiyo mimi ningeshauri kwa watu wenye mapenzi na upinzani wa kweli kuna umuhimu wa kuisupport ili wafanikiwe zaidi ndipo tutakuwa na serekali imara kwa kuimarisha upinzani pia.
Sent from my BlackBerry 9700
Ndugu zanguni,
Nimeshangazwa sana kuona hawa viroba wanadai wao ndio wamesababisha mawaziri kujiuzuru na wengine kuvuliwa vyeo. Hawa jamaa wanasahau huu ishu ilianzishwa na Lembeli, kinana na nape ambao ndio CCM yenyewe.
Sasa inakuwaje leo watoka povu mseme nyie ndio mmesababisha?
JITAMBUE!
Naichukia ccm sana
Ndugu zanguni,
Nimeshangazwa sana kuona hawa viroba wanadai wao ndio wamesababisha mawaziri kujiuzuru na wengine kuvuliwa vyeo. Hawa jamaa wanasahau huu ishu ilianzishwa na Lembeli, kinana na nape ambao ndio CCM yenyewe.
Sasa inakuwaje leo watoka povu mseme nyie ndio mmesababisha?
JITAMBUE!