Kesi ya kinana dhidi ya Msigwa inahusi nin vile?... btw Dereva lazima awe ni mtu mwenye uwezo wa kuona ...CCM mbona vipofu zaidi ya chief mangungo wa msovero? wataweza vipi kuendesha gari kwa usalama?...Ndugu zanguni,
Nimeshangazwa sana kuona hawa viroba wanadai wao ndio wamesababisha mawaziri kujiuzuru na wengine kuvuliwa vyeo. Hawa jamaa wanasahau huu ishu ilianzishwa na Lembeli, kinana na nape ambao ndio CCM yenyewe.
Sasa inakuwaje leo watoka povu mseme nyie ndio mmesababisha?
JITAMBUE!
Waambie tunataka mbowe aachie madaraka yake kwa kuwa hata yeye siyo msafi. chama hapa ongea kidogo.