Yaliyonipata nimeamini mke wa mtu ni sumu

Yaliyonipata nimeamini mke wa mtu ni sumu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] inasikitisha ila imenichekesha kiukweli...nime'imagine
 
mashudu......watunzi wa story wangekuwa kama wewe....... ningekuwa waziri ili nifungie huo ujinga
 
Siku moja nusu niingie kingi" mm ananiambia hana bwana mara baba wa mtotowe alisha kufa' nika pita pita kama mara mbili tatu, nakuja kupata story kwa jamaa yangu kuwa yule mtu ana mume tena mwanajeshi na yupo moro kambini mpaka leo hua ana tuna wacliana ila namkwepa sana sana na nashindwa ni muulizeje maana alienipa taarifa ana mfahamu mwanzo mwisho nashindwa nimuanzeje maana hua najisikia ghadhabu kwa kudanganywa kiasi hicho
 
Cku utakayopigwa pumbu ndio utaamini ni sumu zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom