KIDOLEGUMBA
JF-Expert Member
- Apr 17, 2013
- 498
- 110
mke wa mtu ashaliwa hapo!
yaan ww ---- la mamaako ulaaniwe na watu waseme amina! Ipo siku utakuja kuishuhudia hyo kwa mkeo
Relax bana we umemind mi nimeburudika
Ila kwanini umemind hivo umehisi Manuu kamfanyizia wife wako nini?
punguza jazba mkuu , matusi ya nini tena?............
yalishakukuta nini?
hajamfanyizia! ila alivyoeleza steji moja baada ya nyingne ya 6-6 nmevuta picha kama ndio anamfanyia wangu nmekuta ghafla hasira imepanda. Yaan huyu jamaa anajinoma mke wa mwenzie hvyo?!........... Vp ww zmeisha hzo genye au bado??
Kondomu mliumbuka???? Miaka 12 apart, mnakutana halafu na denda mnapeana!!!??? Mlipimana lini?? Hata niwe nimekutema mwezi mmoja ni lazima tupimane na ndomu inaendelea kuvaliwa kama kawa. Mtu pekee ambaye sitavaa ndomu ni mwenzi wangu tu japo wanandoa wanaongoza kwa HIV but acha tuleteane sisi kwa sisi na tukiupata sitahusika maana kamwe nje bila ndomu ni marufuku na huko hakuna deep kissing and romance!!!!! manuu umenipa changamoto sana katika kupiga vita ukimwi.
hahaa sidhani ka ndomu walikumbuka hapo..............
Bahati yako umewahi kuandika joke, make ninge......
mmmh mi na x wangu aisee mmmh ! Hata tungebaki 2 duniani nisingekaa nimpe tena
hapo ndomu sidhani..........
Hiyo aya ya mwisho ni maarufu sana kwenye michezo ya kuloweka.............
Kweli wewe ni ibilisi ...ole wenu.
mkuu acha tu! heri kufirisiwa mali zote ntasamehe kuliko kugongewa mke. Hapo lazma nifanye kitu kibaya sanaa
Ziishe kwani nimetibiwa? Bado....
sasa we naweeee hiyo pilipili ya shamba ashughulikiwe mwingine umind wewe kisa umeassume ni wife
ha ha ha kwani kabakwa? Si katoa kwa mapenzi yake mambo ya watu hayaumizi kichwa changu katu
ila mkuu hiyo kitu mbona ipo sana kwenye jamii,,,,,,,,,,,,,,,
yaani mimi huwa sijiaminishi kihivyo , kwani huwa najiulizaga wa kwangu ana nini? baada ya kuona wa wenzangu wakinyolewa kirahisi rahisi..........
ndiyo ukweli unaobidi tuishi nao..........
michezo ya kuloweka lol
hebu vuta picha umetoka zako kazn unakuta kidume kimemkuja na kinapiiga shoo vbaya............
Ungefanya nini? naomba usinitusi, wifi yako yuko online na anajua Id yangu ya JF