Yaliyojiri Uwekaji wa jiwe la msingi Daraja la Selander

Rais anasema wakati mimi na serikali yangu tunajiandaa kuondoka kwenda dodoma, tunaiacha dar ikiwa inapendeza kabisa kuwa jiji la biashara
 
Rais anasema daraja hili linaweza kuitwa Tanzanite bridge, ili kuyatangaza madini hayo ambayo yanapatikana tanzania pekee
 

Hivi ni SALENDA au ni SELANDA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…