Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,906
- 10,391
Leo Septemba 26, Dkt Magufuli atafanya mikutano miwili. Wa kwanza utafanyika Solwa, na wa pili utafanyika Shinyanga Mjini.
Baada ya Solwa, Dkt. Magufuli anaelekea Shinyanga Mjini ambako atafanya mkutano. Star Tv watarusha mkutano huo moja kwa moja.
#HapaKaziTu
=========
Anaeongea kwa sasa ni aliyekuwa spika wa bunge, mheshimiwa Sitta na anawaongelea wagombea urais wa vyama viwili vikubwa, Magufuli na Lowassa.Anamshukuru mwenyezi Mungu kwa genge la mafisadi kumeguka na chama kilichokuwa kinapinga mafisadi ndio kimekuwa kimbilia lao na hayo ndio mabadiliko ndani ya CCM kwa kupambana na kundi lililojenga ndani ya CCM.
Anasema tabia ya watua kujikweza ni kutafuta sifa, aliamini matumizi makubwa ya pesa yataitisha kamati kuu ya CCM, akisahau mojawapo ya sifa ni uadilifu wa mgombea.
Naamini serikali ya Magufuli itakuwa na serikali isiyo na ufisadi, serikali inayowajali wanyonge.
Anaeongea kwa sasa ni mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli na anaongelea atakayofanya endapo watanzania watampa ridhaa ya kuwaongoza. Anasema mafisadi wanakimbia baada ya yeye kuteuliwa CCM kugombea kupitia CCM.
Anaongelea matatizo ya walimu na atakavyoyatatua, anaongelea pia wafanyakazi wanaofanya vibaya sehemu moja na kuhamishwa sehemu nyingine. Kwenye elimu anaongelea kuondoa karo ya shule na michango darasa la kwanza mpaka kidato cha nne.
Baada ya Solwa, Dkt. Magufuli anaelekea Shinyanga Mjini ambako atafanya mkutano. Star Tv watarusha mkutano huo moja kwa moja.
#HapaKaziTu
=========
Anaeongea kwa sasa ni aliyekuwa spika wa bunge, mheshimiwa Sitta na anawaongelea wagombea urais wa vyama viwili vikubwa, Magufuli na Lowassa.Anamshukuru mwenyezi Mungu kwa genge la mafisadi kumeguka na chama kilichokuwa kinapinga mafisadi ndio kimekuwa kimbilia lao na hayo ndio mabadiliko ndani ya CCM kwa kupambana na kundi lililojenga ndani ya CCM.
Anasema tabia ya watua kujikweza ni kutafuta sifa, aliamini matumizi makubwa ya pesa yataitisha kamati kuu ya CCM, akisahau mojawapo ya sifa ni uadilifu wa mgombea.
Naamini serikali ya Magufuli itakuwa na serikali isiyo na ufisadi, serikali inayowajali wanyonge.
Anaeongea kwa sasa ni mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli na anaongelea atakayofanya endapo watanzania watampa ridhaa ya kuwaongoza. Anasema mafisadi wanakimbia baada ya yeye kuteuliwa CCM kugombea kupitia CCM.
Anaongelea matatizo ya walimu na atakavyoyatatua, anaongelea pia wafanyakazi wanaofanya vibaya sehemu moja na kuhamishwa sehemu nyingine. Kwenye elimu anaongelea kuondoa karo ya shule na michango darasa la kwanza mpaka kidato cha nne.
Last edited by a moderator: