Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Sitta anasema mradi wa maji kutoka ziwa Victoria ulitekelezwa na Mkapa na si Lowasa pekee...pia Mwandosya alihusika.
Lowassa anasema CCM haijafaya kitu hata maji iliyotwambia kahusika yeye mwenyewe akiwa CCM na kujisifia eti leo kaenda CDM anasema hamna kitu