Magufuli hafai kuwa Rais.... Watanzania tufunguke macho..... CCM ni ile ile, hakuna kipya kutoka kwa CCM
Hatuwezi kumchagua fisadi Lowassa,huo urais ataishia kuusikia tu akiwa gereza la mafisadi.
Tunaenda na Magufuli, wewe endelea kula salama pesa za fisadi Lowassa maana mwishi tarehe 26/10 atakapogundua kuwa imekula kwake.