ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,850
Nyamaza kimya kama hujui unachoongea. Brigedi ya nyuki ni sehemu tu ya jeshi la JWTZ huko Zanzibar na kambi yake inaitwa KwaBavuai Migombaniwamekosea Zanzibar ni brigedi ya nyuki huyo ni kamanda wa brigedi ya nyuki.siyo mkuu wa majeshi,mfano Songea kuna brigedi ya tembo yenye mikoa ya Ruvuma,Njombe,Iringa,Mbeya,Rukwa na Katavi.