Yaliyojiri: Sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Yaliyojiri: Sherehe za miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Je, mke na watoto wa mwanamapinduzi Field Marshal John Gedion Okello watakuwepo?Au ndo zitakuja zile familia za wanamapinduzi 'feki'?
 
SASA HIVI TUKO ZANZIBAR KWANZA. Wakati mkifuatilia mapinduzi ya zanziba polisi wa arusha sana sana wa kituo cha usa fuatilieni jambazi lilopigwa risasi na polisi mpakani maeneo ya holili likatoroka liko arusha hospitali ya sharak linatibiwa kwa usiri mkubwa sana kwani amegawa hela kwa daktari na manerse(sisters) ili wasipeleke repot polis (hospitali iko 1km kutokea arusha mjini kabla ujafika makumira university)
 
ndugu members mh kikwete yuko kwenye sherehe tajwa hapo juu na kwa kustahajabu sana wageni wote (marais)wamepewa nafasi ya kuwasalimia wananchi lkn jk kapotezewa. je ndo kanuni zilivyo au ndo katiba ya zanzibar inavyosema. pls majibu
 
Ya Zanzibar na Tanzania Bara sasa mkanganyiko tu. Kingine, CUF nao wamepotezewa.
 
ndugu members mh kikwete yuko kwenye sherehe tajwa hapo juu na kwa kustahajabu sana wageni wote (marais)wamepewa nafasi ya kuwasalimia wananchi lkn jk kapotezewa. je ndo kanuni zilivyo au ndo katiba ya zanzibar inavyosema. pls majibu
Nilihisi kuna moja limezidi. Wageni kutoka nje ya Tanzania!
 
Back
Top Bottom