Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Mimi hii statement ya Makongoro nimeielewa tofauti na hiko wazi kabisa kuwa nani yuko responsible na tuliyoshuhudia tangu 2005 mpaka 2015.
"Kikwete ni mpole, na hana tatizo kabisa, labda matatizo yale ya kibinadamu ambayo kila binadamu ana mapungufu yake, lakini amezungukwa na kundi la vibaka ambao ni hatari kwa nchi,
Hao ni marafiki zake na hawezi kuwakemea, hawa huwezi kuwakabidhi gari la serikali likabaki salama, ni vibaka hatari, nao teo wanautaka urais,"
"Kikwete ni mpole, na hana tatizo kabisa, labda matatizo yale ya kibinadamu ambayo kila binadamu ana mapungufu yake, lakini amezungukwa na kundi la vibaka ambao ni hatari kwa nchi,
Hao ni marafiki zake na hawezi kuwakemea, hawa huwezi kuwakabidhi gari la serikali likabaki salama, ni vibaka hatari, nao teo wanautaka urais,"