MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 27,598
- 30,140
Tumeshashinda tayari kwa nyomi hii
Sikweli mkuu
Tumeshashinda tayari kwa nyomi hii
Kama makapi wangekua hawaweweseki.tarehe 25 october watapata jibu
Tumeshashinda tayari kwa nyomi hii
Umoja ni ushindi maana yake nini..!?
Umoja ni ushindi maana yake nini..!?
Jamani nikiangalia idadi ya umati wa watu unao onekana kupitia ITV ni wachache ukilinganisha na idadi ya umati wa watu ninao uona TBC. Correct me if am wrong
Tayari Magufuli Rais kwa mtazamo wangu nani anabisha asipokuwa rais mnifukuze nchi hii ya Tanzania
Uzinduzi huu umetumia mabilioni kukodi watu na kuwapa bendera,na hayo manguo ya kijani na hiyo ndo posho kwa miaka mitano,na hili liko wazi,ila lazma mtage mwaka u hakuna namna ingine
Mchakamchaka Hivihivi Hadi Octoba 23! Lowasa Akikimbizwa Hivi Na Ile Afya Yake Sijui Itakuwaje
Naomba mwenye picha Diamond akiwa Singida aweke to compee.