Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,230
- 39,639
Mbona watu wanalazimishwa kupiga kelele?? Kila saa unaskia "piga keleleeeee" sasa hii nayo ni sera au? Naona hakuna tena Kidumu chama cha Mapinduzi.....ni piga keleleeeee! MANI
Hahahahahah yaani mwitikio wa wananchi ni sifuri zinasikika kelele za Nape tu!!!
Last edited by a moderator: