YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

SIONI Sababu kwa nini wanamuziki waliomuagana Mh. Jakaya majuzi kuchnganyikiwa. Swala lao lilikuwa rahisi sana.

INAWAPASA kuweka usawa kwa wanasiasa na kuwapa huduma kwa usawa, Kama kuna upendeleo mnaufanya kwa aliefanya

makubwa kwenu, Kwa mtu yyt mwenye ufahamu mkubwa, kwa mlichofanyiwa na Dokta Kikwete ni sehemu tu ya maisha yenu

katika sector ya muziki. Angeweza na watafanya marais na viongozi wengine wenye mapenzi na muziki,isitoshe washabiki

ni sisi wananchi sio hao viongozi nashangaa sana kusikia hayo

@. Diamond Platinum

2. Ally Kiba


3. Yamoto band


4.Ommy Dimpoz


5. Madee


6. Peter Msechu


7. Wanaume TMK


8.Amini


9. Linnah


10. MwanaFA


11. Shilole


12. Mzee Yusuph


13. Bell 9


14. Keisha


15. Beka


16. Aisha Mashauzi


17. Ben Paul


18. H Baba


19. Barnabas


20. Nick wa pili


pia mastaa wa Bongo Movie kama Ray, JB, Uwoya, Wema, Johari, Mainda, Steve Nyerere n.k


Watakuwepo pia Orijino Komedi yaani Masanja mkandamizaji,Joti,Mpoki n.k


Wasanii wengine ni Mizengwe, King Majuto, Kitale, Braza K na kina Bambo.


ushabiki mnaojenga wa kimakundi ni mbaya kuwahi kutokea nchini.


wapiga kura ni sisi, wanunua cd zenu bado ni sisi.

JITABUENI.
Wana akili wanajitambua. Huwezi kupeleka mwizi, jambazi, fisadi Lowasa Ikulu.
 
Wasanii mbona wanaonyesha vidole viwili alama ya Chadema? Kuna mmoja yuko live sasa hivi. Ndo anafanya kituko hicho.
 
Naona yamoto Band ilianza kuimba kwa kuwaponda Ukawa watu wakaanza kuchukia ikabidi kubadilisha nyimbo yao ghafla na kuimba ule wimbo wao original

Kweli nimeamini pesa inaweza kumleta mtu Jangwani lakini haiwezi badilisha moyo wa mtu.
 
Nimependa sana pozi la Mako na Mwiguru. ..tunawakubari sana nendeni mkaunde serikali imara vijana
 
11873414_883930575031199_4945020638157531889_n.jpg
 
Back
Top Bottom