Mimi ni lofa na mpumbavu kama mzee mkapa alivyodai ila 25/10 morning malofa tutachukua nchi
Umenichekesha sana! Kaona urais kashimdwa kaamua kurudi chini. Biashara ya jumla imemshinda kaamua kufungua genge.
Kwani uchafu ni wa milele?Mbona hunijibu kuhusu machenge na wezi wa escrow kwani Lowasa alikwepo?Kwanini haujiulizi chadomo ilikuwa inasema "Lowassa ni fisadi" sasa inasema ni malaika? Kulikoni?
Babu Slaa yuko wapi?
Ndugu yangu,
Vyama vyote vinakuja na ahadi, tena ahadi tupu za maneno.
Ukweli mchungu ni kuwa hata ukimwamini vipi mwanasiasa hatatimiza ahadi zake zote, na wengine huwa hawatekelezi hata moja. Jiulize waliokuwa wakitamba wana ushahidi wa kumfunga Lowassa wako wapi leo? Wanapiga ndio mzee.
Na mwanasiasa hata akiwa ndugu yako ukipata kashfa au akiona utampunguzia kura anakukwepa kuliko ukoma.
Kudanganywa ni kudanganywa tu iwe chama cha zamani au kipya utakuwa umedanganywa.
Tena na chama kipya utasema "heri ningebaki kule kule". Yatakupata ya Mh. Nkumba uwaache watu midomo wazi.
Baada ya ufunguzi wa kampeni za CCM kupitia mgombea wao mteule, wapinzani wao hususani ukawa waonekana kuchanganyikiwa kutokana na mwitikio wa wanainchi katika kampeni za Daktari Magufuli.
Kwa hali hiyo imewafanya kuanza kufikiri namna ya kukabiliana na ghalika ya watu waliona kiu ya kusikiliza hotuba za viwango za Dr, hata hivo bado wapinzani wake wanajiuliza ni nini hasa wanaweza kuongea siku ya ufunguzi wa kampeni yao kutokana na maeneo yote kupewa vipaumbele na DR.
Kuna uwezekano mkubwa babu kushindwa kuongea siku hiyo kutokana na ugonjwa wa kutetemeka mwili mzima!!
Watu wa karibu yake wanadai hata lile neno alilozoea kutamka"ZUNGUSHA",yawezekana akashindwa kabisa japo akijaribu kutamka WATAZAMAJI SIJUI WATAZUNGUSHA NINI!!
Baada ya ufunguzi wa kampeni za CCM kupitia mgombea wao mteule, wapinzani wao hususani ukawa waonekana kuchanganyikiwa kutokana na mwitikio wa wanainchi katika kampeni za Daktari Magufuli.
Kwa hali hiyo imewafanya kuanza kufikiri namna ya kukabiliana na ghalika ya watu waliona kiu ya kusikiliza hotuba za viwango za Dr, hata hivo bado wapinzani wake wanajiuliza ni nini hasa wanaweza kuongea siku ya ufunguzi wa kampeni yao kutokana na maeneo yote kupewa vipaumbele na DR.
Kuna uwezekano mkubwa babu kushindwa kuongea siku hiyo kutokana na ugonjwa wa kutetemeka mwili mzima!!
Watu wa karibu yake wanadai hata lile neno alilozoea kutamka"ZUNGUSHA",yawezekana akashindwa kabisa japo akijaribu kutamka WATAZAMAJI SIJUI WATAZUNGUSHA NINI!!