WILLAFRICA
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 4,027
- 930
huyo achana nae! Ni miongoni mwa mamluki (toka nchi hiyo) kuja nchi hii ili wachume matunda uhuru. Hana uchungu hata kidogo..usishangae hata kikinuka anakimbilia uarabuni waliko wajomba.
khana mrindimo wa misemo ya mpwani alo jaa ufitini,udini kwake ni supu ya pweza,
hatulii kujikhimu na mwezi mtukufu wa raamadhani!
-wapi ewe ajuza faiza 'foski' mtaka pepo ulo isaliti zanzibari kwa usaka tonge!