Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
Dr. Slaa ameshawasili uwanja hivi jukwani yupo Silinde silinde; yote yanayofanyika ni kwa ajili ya kupigania haki za wananchi ccm wana macho kakini hawaoni
update
SUGU- Hakuna kitu wanacho kiogopa hawa ccm kama katiba mpya. Awali walidhani Walioba atawasaidia hakuna kitu anasema alikubaliana na wananchi kukomaa bungeni hawezi kukaa kimya pale masilahi ya taifa yanapotea
update
Sugu kuanzia leo anajitoa rasmi kuwa kwenye umoja wa wabunge wa Mbeya usiokuwa na maana kama ule wa wenzao wa mwanza au kilimanjaro wanaokutana na kujadili mambo ya maana
update
tangazo la mkurugezi Sugu kama mbunge hajashirikishwa anaungana na mkuu wa mkoa Kandoro kupinga hili tamko. vijana wameacha uhalifu sasa kwa hili litasababisa warejee huko tena
UPDATE
Dr. Slaa amesimama sasa, anawasimamisha Sugu na Silinde
anampongezea Sugu na Silinde kwa kutetea haki ya Watanzania bila kujali adha ambazo zingewata
leo dar wenyeviti wa CUF, NCCR CHADEMA
1. Wamelaani kitendo cha Job bungeni
2. Wamewapongeza wabunge wao kwa kitendo walicho kifanya bungeni
3. Wanamshauri rais asisaini mswada huo hadi utakaporejeswa bungeni
UPDATE
Miaka 7 iliyopita list of shame ilitajwa tarehe kama ya leo.
Watanzania wajiuliza wabeba madawa ya kulevya mbona hawakamatwi.
Nini kimetokea balozi wa China kusimama na kiongozi wa ccm jukwani
mkutano umefungwa rasmi tena kwa amani nzuri
update
SUGU- Hakuna kitu wanacho kiogopa hawa ccm kama katiba mpya. Awali walidhani Walioba atawasaidia hakuna kitu anasema alikubaliana na wananchi kukomaa bungeni hawezi kukaa kimya pale masilahi ya taifa yanapotea
update
Sugu kuanzia leo anajitoa rasmi kuwa kwenye umoja wa wabunge wa Mbeya usiokuwa na maana kama ule wa wenzao wa mwanza au kilimanjaro wanaokutana na kujadili mambo ya maana
update
tangazo la mkurugezi Sugu kama mbunge hajashirikishwa anaungana na mkuu wa mkoa Kandoro kupinga hili tamko. vijana wameacha uhalifu sasa kwa hili litasababisa warejee huko tena
UPDATE
Dr. Slaa amesimama sasa, anawasimamisha Sugu na Silinde
anampongezea Sugu na Silinde kwa kutetea haki ya Watanzania bila kujali adha ambazo zingewata
leo dar wenyeviti wa CUF, NCCR CHADEMA
1. Wamelaani kitendo cha Job bungeni
2. Wamewapongeza wabunge wao kwa kitendo walicho kifanya bungeni
3. Wanamshauri rais asisaini mswada huo hadi utakaporejeswa bungeni
UPDATE
Miaka 7 iliyopita list of shame ilitajwa tarehe kama ya leo.
Watanzania wajiuliza wabeba madawa ya kulevya mbona hawakamatwi.
Nini kimetokea balozi wa China kusimama na kiongozi wa ccm jukwani
mkutano umefungwa rasmi tena kwa amani nzuri