hivi hadi sasa nyinyiem mmeongea nini? naona kinana anaongea watu wanaondoka
Balantanda na ritz nasubiri picha wakuu.
Irrelevant conclusion!
CCM imedhihirisha tena kuwa ni chama kinachoongoza nchi na kisochofanya madudu ya uongo.
Leo nimewaonea sana huruma chadema walipoanza kuchanwa na Nape, wakaja kina Wasira, Maghembe, Magufuli, Tibaijuka. Wakaeleza kwa ufasha kabisa na kujiamini jinsi CCM inayotimiza ahadi zake.
Wasira akagusia jinsi chadema wanavyoiba hoja na kuwahi kuzitangaza kama ni zao. Magufuli akawakumbusha miradi ya barabara za lami ambayo haijawahi kuonekana barani Afrika kwa kiwango hiki kwa muda mfupi.
Nawaonea huruma chadema wanavyopita wakidanganya Watanzania, leo magwanda ya khaki wameumbuka.
Watu ni wengi sana kaka, mi nipo Jangwani, ni wengi kuliko ule mkutano wetu, ila wao wamepanga viti halafu daladala zimemwagwa kama mvua.
Danganya toto hiyo hakuna hata kadi moja ya CDM imerudishwa wameandaa kadi hizo feki kuudanganya uma!!!Kuna watu wanarudisha kadi naona tisheti ya cuf imeshikwa na kijana hapa. Naona kadi kibao za chadema. Komba na tot wanaburudisha.