Yaliyojiri, Mgomo wa Madereva wa Mabasi nchini - Aprili 10, 2015

Hakika jana peoples power ilionyesha uwezo wake dhidi ya utawala wa wa kisanii wa maccm.
Naamini kabisa kuanzia sasa ccm itakuwa na woga mkubwa sana na nguvu ya umma ya namna hii kwani inaweza ikajikuta inaondoka, na yule mjamaa wao akatorokea mlango wa baharini.
Hivyo ni muhimu sana kwa utawala wa ccm kuachana na usanii na kila mara kuwaweka wananch wake majaribuni.
 
Hakika jana peoples power ilionyesha uwezo wake dhidi ya utawala wa wa kisanii wa maccm.
Naamini kabisa kuanzia sasa ccm itakuwa na woga mkubwa sana na nguvu ya umma ya namna hii kwani inaweza ikajikuta inaondoka, na yule mjamaa wao akatorokea mlango wa baharini.
Hivyo ni muhimu sana kwa utawala wa ccm kuachana na usanii na kila mara kuwaweka wananch wake majaribuni.

Nilichokiona jana nguvu hii ya umma ilitokana na vyama vyote ikiwemo CCM yenyewe. Hivyo hiyo siku ya siku watu hawataulizana vyama!
 
hahaa kwanini wasema hivyo...?

anyway nilirudi nyumbani salama kabisa.....

nimetizama toka asbh maskin uko mbez nikasema daaah atapata shida sana.
Mie natokea niliona hali apo stand so nilifeel ulichokuwa unakisema
week end njema na salam sana kwa watoto
 
Hakika jana peoples power ilionyesha uwezo wake dhidi ya utawala wa wa kisanii wa maccm.
Naamini kabisa kuanzia sasa ccm itakuwa na woga mkubwa sana na nguvu ya umma ya namna hii kwani inaweza ikajikuta inaondoka, na yule mjamaa wao akatorokea mlango wa baharini.
Hivyo ni muhimu sana kwa utawala wa ccm kuachana na usanii na kila mara kuwaweka wananch wake majaribuni.
Usifikiri hao ni CHADEMA
kwa kifupi wengi hatuna vyama.
 
nimetizama toka asbh maskin uko mbez nikasema daaah atapata shida sana.
Mie natokea niliona hali apo stand so nilifeel ulichokuwa unakisema
week end njema na salam sana kwa watoto

Oooh okay....

asante na wewe wasalimie watoto...
 
Sababu zinaeleweka mkuu. Ni agizo la kijinga sana kuwahi kutolewa na serikali. Wewe mtu kaenda chuo kasoma na kafuzu ukampa leseni halafu baada ya miaka mitau anapotaka kurenew leseni yake eti akasome tena yale yale aliyosoma na kufaulu kwa ada mpya! Mimi naona serikali ingeeleweka kama mathalani mtu alisoma na kupata daraja E sasa anataka C hapo akiambiwa akasome ili kupata hiyo C ni sawa. Lakini mtu anaambiwa akasome tena kile kile alichosoma na kufaulu na tayari anauzoefu nacho kikazi. Kusoma kuwe ni kwaajili ya kupandisha daraja. Hata katika fani nyingine mfano mtu akisomea diploma mathalani ya ualimu anaweza kwenda kusoma ili kupata shahada ya ualimu lakini sio kwenda kusoma ili kupata diploma ambayo tayari anayo

Shukran mkuu nimekupata - na uko sawa
 
Serikali ifute bima za haya magari na bima wawekewe abiria, hizi ajali inawezekana matajiri na maofisa wa bima wanakaa pamoja kupanga ni vipi wapate pesa
 
Back
Top Bottom