Fanyeni kama walivyofanya KYELA kitongoji cha MWAKYEMBE baada kuwa kura kugongana kwa m/kiti wa kitongoji hicho,uchaguzi wa marudio uliofanyija juzi kura zote za mgombea wa CCM zimeenda CDM na hivyo matokeo kuwa:
CCM=2
CMD=190
Kwa hayo umekubali kuwa ni ukweli. Sasa msilalamike kama hamna maofisi.
samahani uwa sitaki kuchangia point zako ata siku moja maana sijawahi kuona ukiongelea ukweli na kusimamamia haki na uislam sifa ya kwanza ni haki na usawa sasa nafikiri iyo picha apo ni picha tu sio foxy mwenyewe maana hata kama ni kutetea chama chako lazima usimamie ukweli daima sio kwa ajili ya wanadamu bali kwa mungu ulinayemwabudu usihishi kama duniani ni nyumbani apa tunapita siku moja ukilizwa swali na mungu, uliwasaidia je wanyonge majibu sijui kama unayo maana unafikiri ccm itakupeleka mbinguni unajidanganya haki usawa kupenda watu kuchukia dhuluma kukemea maovu ayo ndo yatakayo fungua mbingu yako.watch your step mama.
ni mtazamo wangu tu.
View attachment 212985
Wacha porojo. Viongozi wako wanawasaidia wanyonge kwa kujenga nyumba za mahawara zao kwa ruzuku? Fikiri.
asante mkuuUna Point sana wewe......
Tunaomba matokeo ya wilaya mpya ya Kaliua.
Kiongozi kwa habari za uhakika mpaka saa 7 leo ukawa wana vitongoji 7 na ccm viwili hii ni bila matokeo ya Usinge bado yana utata hayajatangazwa bado na Ucnge kama mnavyofahamu ni ngome cuf na chadema kw Sakaya na habari za uhakika Ulinduanoni nyumbani kwa Kapuya Chadema walitangazwa mshindi toka jana jioni ck ya uchaguzi
Safi sana kamanda. Fuatilia na huko usinge nk
Km 60 A na B wamechukua Chadema vyote viwili
Sema Haki ya Mzungu...Yaani Mkuranga watu wamebadilika kiasi hiki?Kijiji cha Mkuranga mjini chadema chaibuka kidedea na washirika Wa UKAWA wachukua vitongoji vyote, kijiji cha chamgohi kata ya mbaya chadema yaibuka kidedea. Vijiji ambavyo CCM hawajapata mjumbe wala kitongoji ni Mkuranga, Vikindu, mwandege, yavayava kote huku Mkuranga
maccm yakomeSafiiiii. Aluu! Fuatilia Kasungu, ulindwanoni nk endapo waweza kuyapata. Tunahitaji elimu ya uraia iende hadi Igagara nk.
na Kikwete wao alicho fanya wameishamaccm yakome
Mtu anaesema familia ya Raisi isiwepo Ikulu, huyo ndiyo umemuona ana staha?
Kama hataki ikae Ikulu anataka ikakae kwake? simpo.
Wacha porojo.
Viongozi wako wanawasaidia wanyonge kwa kujenga nyumba za mahawara zao kwa ruzuku?
mdbona unongea sana mama!
Matokeo zaidi ni hayo:
HUKO SUMBAWANGA MJINI MAMBO YAPO HIVI kata ya CHANJI/MSUA NA KIZWITE hazijafanya uchaguzi baada ya kuchoma ofisi ya kata ambamo nyaraka za majina ya wapiga kura zilikuwa zimehifadhiwa. watapiga kura itakapotangazwa wakati mwingine. kata zilizofanya uchaguzi jana ni sUMBAWANGA WENYEJI AMBAPO cdm mitaa 17 ccm 6 Kata ya Retco ccm 0 cdm 7 mafulala cdm 10 ccm 2 hizo ni baadhi ya kata za mjini Sumbawanga