Ni ngumu kuamini lakini ndivyo itakavyo kuwa lnshaaAllah. Sheikh Sudeis ndani ya Uwanja Mkubwa wa Taifa.
Al-hikma Foundation inawaalika waisilamu na watu wote kuhudhiria Mashimdano Makubwa ya qur-an yanayofanyika leo jumapili tarehe 11/6/2017 katika uwanja mkubwa wa Taifa.
Share ujumbe huu ili na wewe upate thawabu za kutoa Swadaqah.
Tupeane updates hapa ya kinachoendelea katika mashindano ya kuhifadhi Quran tukufu uwanja wa Taifa.
Al-hikma Foundation inawaalika waisilamu na watu wote kuhudhiria Mashimdano Makubwa ya qur-an yanayofanyika leo jumapili tarehe 11/6/2017 katika uwanja mkubwa wa Taifa.
Share ujumbe huu ili na wewe upate thawabu za kutoa Swadaqah.
Tupeane updates hapa ya kinachoendelea katika mashindano ya kuhifadhi Quran tukufu uwanja wa Taifa.


