Yaliyojiri Mahakamani kesi ya Mbowe na wenzake: Shahidi wa 13, Tumaini Sostenes Swila kuendelea kutoa ushahidi wake Februari 9, 2022

Yanayoendelea mahakamani kwa watuhumiwa kulalamika kuteswa akiwemo Denis Urio ndio imepelekea muswada huu kupelekwa bungeni ili wakina Mahita watese na kuua watu kwa uhuru.
Huku ni kuhalalisha mauaji kwa kutumia sheria. Polisi wanaoua kila siku leo wanataka kupewa kinga na Bunge letu. Aise tukatae, hata kama hatuko bungeni, tupazeni sauti. Maanake yalipomkamata Mbowe yangeweza kufanya lolote alimradi hii sheria inawalinda
 
Huyu ndio tunaambiwa mtaalamu wa maandishi hata cheti hana,ni magumashi matupu

Kibatala: Garry Breath anashauri Kuwa Unapo chukua Sampuli za Maandishi Za Mtuhumiwa lazima Pawe na Mtu Mwingine Kushuhudia

Shahidi: Ndiyo Lakini siyo lazima

Kibatala: Kwani wewe na Garry Breath nani Mtaalamu Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi

Shahidi: Mimi

Kibatala: Kwani Wewe una Certificate hata ya Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi

Shahidi: Sina

Kibatala: Unafahamu Kwamba Garry Breath ni Daktari Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi anatumia Mpaka na FBI Mbali na Kuandika Vitabu

Shahidi: Sifahamu
Ningekua kwenye jopo la mawakili wa serikali huyu inspector Swila nisinge muleta kua shahidi kaharibu kila kitu, yani ni mbumbumbu sanaa, yani police wengi ni vilanza hata masuali hailewi kabisa hata form 4 uenda hakufika.
 
Huku ni kuhalalisha mauaji kwa kutumia sheria. Polisi wanaoua kila siku leo wanataka kupewa kinga na Bunge letu. Aise tukatae, hata kama hatuko bungeni, tupazeni sauti. Maanake yalipomkamata Mbowe yangeweza kufanya lolote alimradi hii sheria inawalinda
Walianza na sheria ya kuwalinda viongozi wakuu, baadae itafika kwa vitongoji!
 
Huyu ndio tunaambiwa mtaalamu wa maandishi hata cheti hana,ni magumashi matupu

Kibatala: Garry Breath anashauri Kuwa Unapo chukua Sampuli za Maandishi Za Mtuhumiwa lazima Pawe na Mtu Mwingine Kushuhudia

Shahidi: Ndiyo Lakini siyo lazima

Kibatala: Kwani wewe na Garry Breath nani Mtaalamu Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi

Shahidi: Mimi

Kibatala: Kwani Wewe una Certificate hata ya Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi

Shahidi: Sina

Kibatala: Unafahamu Kwamba Garry Breath ni Daktari Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi anatumia Mpaka na FBI Mbali na Kuandika Vitabu

Shahidi: Sifahamu
Comte aje hapa aone kuwa mtaalam wake hata Cheti hana.
 
Back
Top Bottom