Huku ni kuhalalisha mauaji kwa kutumia sheria. Polisi wanaoua kila siku leo wanataka kupewa kinga na Bunge letu. Aise tukatae, hata kama hatuko bungeni, tupazeni sauti. Maanake yalipomkamata Mbowe yangeweza kufanya lolote alimradi hii sheria inawalindaYanayoendelea mahakamani kwa watuhumiwa kulalamika kuteswa akiwemo Denis Urio ndio imepelekea muswada huu kupelekwa bungeni ili wakina Mahita watese na kuua watu kwa uhuru.
Nami pia tafadhaliNasubiri muendelezo mkuu ukipost nitag.
🤣🤣🤣🤣Mmemtosa Sabaya sasa analia peke yake Gerezani Kisongo! Mashahidi wenu wa michongo kwa Mh. Mbowe wanaishia kujikojolea kizimbani!
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Ningekua kwenye jopo la mawakili wa serikali huyu inspector Swila nisinge muleta kua shahidi kaharibu kila kitu, yani ni mbumbumbu sanaa, yani police wengi ni vilanza hata masuali hailewi kabisa hata form 4 uenda hakufika.Huyu ndio tunaambiwa mtaalamu wa maandishi hata cheti hana,ni magumashi matupu
Kibatala: Garry Breath anashauri Kuwa Unapo chukua Sampuli za Maandishi Za Mtuhumiwa lazima Pawe na Mtu Mwingine Kushuhudia
Shahidi: Ndiyo Lakini siyo lazima
Kibatala: Kwani wewe na Garry Breath nani Mtaalamu Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi
Shahidi: Mimi
Kibatala: Kwani Wewe una Certificate hata ya Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi
Shahidi: Sina
Kibatala: Unafahamu Kwamba Garry Breath ni Daktari Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi anatumia Mpaka na FBI Mbali na Kuandika Vitabu
Shahidi: Sifahamu
Miss leo umekua active sana kunani?Mnakula mwaka?? Pls update
Walianza na sheria ya kuwalinda viongozi wakuu, baadae itafika kwa vitongoji!Huku ni kuhalalisha mauaji kwa kutumia sheria. Polisi wanaoua kila siku leo wanataka kupewa kinga na Bunge letu. Aise tukatae, hata kama hatuko bungeni, tupazeni sauti. Maanake yalipomkamata Mbowe yangeweza kufanya lolote alimradi hii sheria inawalinda
Haka ni katamthilia katamu. Hongera sana kutujuza.Nasubiri muendelezo mkuu ukipost nitag.
Kila siku huwa nipo sema nakuwa tait siwezi kucommet leo nina kaoff flaniMiss leo umekua active sana kunani?
Ndiyo maana anaitwa Wakili Msomi,japo Ndugai hataki kusikia Hilo nenoKibatala ni full package. Jamaa anajua kila kitu. Ukimpeleka kwenye IT yumo, Sayansi yumo, hadi masuala ya taratibu za ndani kabisa za kazi za watu yani. Daah...jamaa anatisha sn.
Sent from my TECNO CC7 using JamiiForums mobile app
Comte aje hapa aone kuwa mtaalam wake hata Cheti hana.Huyu ndio tunaambiwa mtaalamu wa maandishi hata cheti hana,ni magumashi matupu
Kibatala: Garry Breath anashauri Kuwa Unapo chukua Sampuli za Maandishi Za Mtuhumiwa lazima Pawe na Mtu Mwingine Kushuhudia
Shahidi: Ndiyo Lakini siyo lazima
Kibatala: Kwani wewe na Garry Breath nani Mtaalamu Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi
Shahidi: Mimi
Kibatala: Kwani Wewe una Certificate hata ya Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi
Shahidi: Sina
Kibatala: Unafahamu Kwamba Garry Breath ni Daktari Wa Sayansi ya Uchukuaji Wa Maandishi anatumia Mpaka na FBI Mbali na Kuandika Vitabu
Shahidi: Sifahamu