mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Nimeona kama ni tafrija flani hivi imefanyika hapo.Hilo tamasha usishangae wakisema ni mafanikio katika kupambana na rushwa. Sidhani kama kunahitajika tamasha katika kupambana na rushwa iliyo wazi, zaidi ya kuamua kupambana nayo kwa dhati.