Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,754
Aisee Heaven on Earth huyo ni wa kupuuza tu, kafanya kusudi maana kuna kitu alitarajia.
Kumbeeeeeeeeee........ ngoja nimpuuze tu twende tukaangalie KTMA
Aisee Heaven on Earth huyo ni wa kupuuza tu, kafanya kusudi maana kuna kitu alitarajia.
Mjini msingi kiuno.
Mi najiuliza kama ni kale kaugonjwa Zama ni mzima kweli?Hawa walimpenda Ruge ? Au walipenda pesa zake tu.?R.I.P Rugemalira.
Sio mzima c unaona ata hakang'ai....Mi najiuliza kama ni kale kaugonjwa Zama ni mzima kweli?
Ivi ilikuaje yule demu akajitoa na akapotea kabisa...alikua na talent ya ajabu...tatizo umaskiniKama unaweza kuongea na msanii Vumilia aliejitoa THT ndiyo atakupa story zaidi na sababu yake kujitoa THT, jamaa ili upate ufadhiri wake lazima akuonje! Kama ni mwanaume uwe na talent kweli.
Ruge n muunin wa sarekal tatu kwa vitendo
Duhhh aisee hasingiziwi kweli?Sio mzima c unaona ata hakang'ai....
am better here
sasa na mumewe je baba Salah inakuwaje au wamechaguana wote positiveSio mzima c unaona ata hakang'ai....
am better here
AiseWanagombania HIV
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
@masai dadasi ndo maana watoto wa mjini wanasema wacha movie iendelee
Sababu ya kuufukua huu uziHawa walimpenda Ruge ? Au walipenda pesa zake tu.?R.I.P Rugemalira.
Aisee..[emoji848]Mjanja alikuwa Finna Mango tu! Aliishi na Ruge nyumba moja muda mrefu na hakuzaa nae.
Kipindi kile kile alikuwa anatoka na Ray c na Lady jay Dee.
Finna akaona hakuna bwana hapa zaidi ya kusogeza siku,
Na hata jibu birthday wishes hata moja.
Hana kanuni muda wowote sehemu yoyote anaweza kuanzisha uhusiano.