TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
Habari kutoka kwa wataalamu wa anga wanatushirikisha habari ya kupatwa kurefu kwa mwezi kwa karne hii ya ishirini na moja. Kupatwa huku kutatokea kati ya Ijumaa na Jumamosi wiki hii. Mabara yote yatashuhudia tukio hili isipokuwa bara Amerika ya kaskazini na Amerika ya kati. Watakao penda kufuatlia tukio hili watembelee channel ya 'timeanddate' siku hiyo inayopatikana youtube kwa jina hilo hilo i.e. timeanddate
RT.com
Sijui hii ndiyo ongeza baridi kwa kiasi hiki siku hizi hapa nchi? Wataalamu watatujuza kama hili linaambatana na baridi kali kwa nyakati hizi nchini Tanzania.
======
“Tukio la kupatwa kwa mwezi linatarajiwa kutokea leo ambapo nuru ya mwezi mkamilifu (full moon), itazuiwa na dunia hivyo mwezi kuonekana kuwa na rangi nyekundu katika kipindi cha saa kadhaa kuanzia saa 4:30 usiku hadi saa 6:14 usiku,”
Tukio hilo ambalo litachukua muda wa saa tatu mpaka kukamilika kwake ni la kwanza katika karne ya 21.
Habari zaidi...
Mnamo tarehe 27.07.2018 usiku, kunatarajiwa kuwepo kwa tukio kubwa duniani la Kupatwa kwa Mwezi, linalotarajiwa kuchukua muda wa saa moja na dakika 43. Kupatwa huko kutakuwa kwa Giza Totoro. Kupatwa kwa Mwezi huhusisha Dunia kuwa katikati ya Jua na Mwezi.
Chanzo cha kupata huko kuchukua muda mrefu, kunatokana na kwamba, Mwezi utakuwa katika eneo lake la mbali (farthest distance) la mzingo wake.
Wataalamu wanaeleza kuwa, kupatwa huko kwa muda mrefu ni matukio ya nadra ambapo tukio lingine litakalochukua muda mrefu, linatarajiwa kutokea miaka 107 ijayo, mwaka 2123, ambapo karibia wanadamu wote waliopo sasa, watakuwa hawapo tena duniani.
Kupata kwa Mwezi hakuna madhara ya kiafya, so watu wanaruhusiwa kuangalia tukio hilo bila kuhitaji miwani.
RT.com
Sijui hii ndiyo ongeza baridi kwa kiasi hiki siku hizi hapa nchi? Wataalamu watatujuza kama hili linaambatana na baridi kali kwa nyakati hizi nchini Tanzania.
======
“Tukio la kupatwa kwa mwezi linatarajiwa kutokea leo ambapo nuru ya mwezi mkamilifu (full moon), itazuiwa na dunia hivyo mwezi kuonekana kuwa na rangi nyekundu katika kipindi cha saa kadhaa kuanzia saa 4:30 usiku hadi saa 6:14 usiku,”
Tukio hilo ambalo litachukua muda wa saa tatu mpaka kukamilika kwake ni la kwanza katika karne ya 21.
Habari zaidi...
Mnamo tarehe 27.07.2018 usiku, kunatarajiwa kuwepo kwa tukio kubwa duniani la Kupatwa kwa Mwezi, linalotarajiwa kuchukua muda wa saa moja na dakika 43. Kupatwa huko kutakuwa kwa Giza Totoro. Kupatwa kwa Mwezi huhusisha Dunia kuwa katikati ya Jua na Mwezi.
Chanzo cha kupata huko kuchukua muda mrefu, kunatokana na kwamba, Mwezi utakuwa katika eneo lake la mbali (farthest distance) la mzingo wake.
Wataalamu wanaeleza kuwa, kupatwa huko kwa muda mrefu ni matukio ya nadra ambapo tukio lingine litakalochukua muda mrefu, linatarajiwa kutokea miaka 107 ijayo, mwaka 2123, ambapo karibia wanadamu wote waliopo sasa, watakuwa hawapo tena duniani.
Kupata kwa Mwezi hakuna madhara ya kiafya, so watu wanaruhusiwa kuangalia tukio hilo bila kuhitaji miwani.
Last edited by a moderator: