Yaliyojiri kupatwa kwa Mwezi Usiku wa leo July 27-28,2018

Usilokijua ni usiki wa giza nene sana.
Hivi unajua kwamba kwenye qurani imeandikwa juu ya kupatwa kwa jua na mwezi ? Na nini kifanyike ikitokea kimoja wapo kupatwa ?
Mkuu waislamu huwa hawakurupuki,kitabu chao kinaelezea kila kitu mpaka jinsi ya kuvaa nguo mpya,jinsi ya kula,kuamka,kuishi na majirani,kuingia chooni,kumwingilia mkeo,kutembea juu ya ardhi,unaposafiri,unapouza,unaponunua,Kupatwa kwa mwezi,kupatwa kwa jua,nk.
Hakuna kilichoachwa kwenye uislam.
mpaka jinsi ya kumtii Rais ipo kwenye qurani
Nadhani walioyaandika hayo walipoteza muda wao bure maana hao ndugu zetu tunaishi nao kawaida tu huku mtaani. Tena vizuri tu.
 
Mwezi una mwanga japo mwanga huo ni ule ambao umeakisiwa kutoka kwenye jua.
Mkuu kuna wanafunzi huwa wanapitia humu kujifunza,hivyo tusiwadanganye mkuu,mwezi hauna mwanga,mwezini ni vumbi tu,yaani hata kioo ukikimulika na tochi kitareflect mwanga wa tochi kwenye kioo,sasa hapo hauwezi kusema kama kioo kina mwanga,jua ndio lina mwanga all the time,ndio maana watu wameenda hadi mwezini lakini mpaka sasa hakuna aliyefika kwenye jua.
 
Labda nimekosa msamiati sahihi wa kuutumia badala ya "chanzo". Lakini wote tunafahamu mwanga tunauona usiku untokana na mwezi. Sjakataa kwamba mwezi unaakisi mwanga huo toka kwenye jua.
Ujakosea ni chanzo, kinachofanyika hapa kuchanganya jambo la kitaalamu na mazoea ya kawaida kwa maongezi ya kawaida kwamba mwezi chanzo cha mwanga nini shida mukiwa munaongea maongezi ya kawaida mtaani useme mwezi unaakisi.
 
Kuna jambo watu wajawai Hindus, Nani kawai kuuona mwezi mchana, mwezi siku nyingine unakuwa mpaka mchana
 
Mkuu kuna wanafunzi huwa wanapitia humu kujifunza,hivyo tusiwadanganye mkuu,mwezi hauna mwanga,mwezini ni vumbi tu,yaani hata kioo ukikimulika na tochi kitareflect mwanga wa tochi kwenye kioo,sasa hapo hauwezi kusema kama kioo kina mwanga,jua ndio lina mwanga all the time,ndio maana watu wameenda hadi mwezini lakini mpaka sasa hakuna aliyefika kwenye jua.
Sawa
kwa tafsiri yako jua linaangaza dunia usiku na mchana
 
Usilokijua ni usiki wa giza nene sana.
Hivi unajua kwamba kwenye qurani imeandikwa juu ya kupatwa kwa jua na mwezi ? Na nini kifanyike ikitokea kimoja wapo kupatwa ?
Mkuu waislamu huwa hawakurupuki,kitabu chao kinaelezea kila kitu mpaka jinsi ya kuvaa nguo mpya,jinsi ya kula,kuamka,kuishi na majirani,kuingia chooni,kumwingilia mkeo,kutembea juu ya ardhi,unaposafiri,unapouza,unaponunua,Kupatwa kwa mwezi,kupatwa kwa jua,nk.
Hakuna kilichoachwa kwenye uislam.
mpaka jinsi ya kumtii Rais ipo kwenye qurani
Uislam nilifestyle tu
 
Sawa
kwa tafsiri yako jua linaangaza dunia usiku na mchana
Mkuu ni jiografia ya darasa la tatu tu hii,jua linaangaza dunia mda wote(All the time),jua halijawahi kuacha kuangaza(kutoa mwaga,kutoa energy,likiacha ndio unakuwa mwisho wa solar sysytem-mwisho wa dunia),ebu soma usiku na mchana unavyotokea upate knowlegde,kwa kifupi jua linaangaza dunia(specific) mda wote,ule upande unaoface jua ndio kunakuwa mchana upande wa pili ndio usiku(huku usiku haimaanishi kwamba jua haliangazi dunia,linaangaza kwasababu dunia haipo nusu)
 
Nilicheka Kuna mtu mmoja wakati mwezi unapatwa alijifungia ndani eti viongozi wa dini wamesema hizi Ni ishara za siku ya kiama kwahiyo wasiangalie
 
Kwa kawaida mars huonekana kwa naked eye siku zote tofauti na venus na saturn ambazo huonekana kwa wakati maalum, but kuanzia 25 july adi 31 July dunia itakuwa karibu zaidi na mars hivyo kusababisa mars kuwa bright zaidi tofauti na nyota za kawaida.(kama hujaelewa google mars opposition au ingia tovuti ya Nasa)

Ata ukiamua kuiangalia Mars siku za kawaida unaiona,ndio sayari iliyo karibu zaidi na dunia na huonekana kwa urahisi zaidi
Kwa hiyo hiyo ya pembeni hapo ndio sayari ya Mars?
Naomba wajuvi wa mambo watujuze,maana kuna nyota inang'aa sana ipo karibu na mwezi muda huu,je ndio sayari ya Mars?
Nimeuliza maana nimeona sehemu wanasema sayari ya Mars itakuwa inapita karibu na Dunia
Nilikua najua nyota kumbe ndo mars

Hii iliyokuwa pembezoni mwa luna eclilse kuna waliotuambia ndio mars.
Swali: inachukua muda gani mpaka itakapopotea kwa kutokuonekana maana mpaka naandika hii comment leo, toka siku ile na nafikiri kua uwezekano hata kabla ya lunar, ilikuwa bado angani yang'ara. Itakiwa hapo kwa muda gani? Au hii sio mars kama tulivyodhani bali mars ilikuwapo ila tukaichanganya na hii ambayo labda ni satelite tu ya kawaida?
 
Back
Top Bottom