babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Mwisho wa ubaya ni aibu
Pole mama dunia tambara bovu
Madaraka yana mwisho
Pole mama dunia tambara bovu
Madaraka yana mwisho
CCM ya Serikali na Rais/serikali ya CCM ni hatari kwa ustawi wa Tanzania ya Tanganyika na Zanzibar.CCM ni watu wabaya saana ndugu; kumtesa mbowe hivi kisa KATIBA MPYA.
AmenThe case is over. Let Freeman free!!!
Na aliponitisha zaidi ni pale alipoulizwa kama katika task force yao Kingai ana taarifa tofauti na wengine, akathibitisha kuwa wote wako na taarifa zote pamoja. Kesi hii ni ngumu upande wa Jamhuri. Unakamata madawa ya kulevya halafu hayawi sehemu ya kidhibiti mahakamani, haiko katika certificate of seizure, wala haipelekwi maabara kuleta majibu kama ni madawa kweli au la. Jana nimetambua haya:Shahidi wa leo aligeuka akawa shahidi wa utetezi. Yani yeye Ni mpelelezi na anadai kwamba hajawahi kupata taarifa za mpango wa kutenda ugaidi. Hivyo basi inawezekana kosa la ugaidi limtengenezwa baadae baada ya watuhumiwa kukmatwa.
Umeonaeeee yaani mgonjwa mahututi anamcheka maitiA level division 3 ya point 21 wapi na wapi!??
Wewe utakuwa zao la division 5 point 40
Na ndio maana mashahidi wanasua Sua kufika mahakamani Ni pamoto kzimbnTunashukuru kwa kazi hii ya kutuhabarisha kwa ufasaha.imekaa kama umeleta vyote kwa ufasaha.Ila najifunza sana mambo ya kubambikia watu kitu ni kazi kubwa sana.Na mahakama ni sehemu muhimu sana.maana vitu vinawekwa wazinkabisa.ukiwasikia polisi wanapotoa taarifa kwenyr vyombo vya habari unaweza wachukia watuhumiwa right away,kumbe mambo mengi yanakuwa yamepotoshwa.
Ila lile neno linalosema "patana na mdai wako kabla hajakufikisha kwa kadhi......" sababu kwa kadhi shughuli ni kubwa sana.nadhani kuna mashaidi wengine wanajuta kuingia katika kesi hii.maana kuna elements za kujidhalilisha
Kuwa shahidi wa uongo ni mzigo mzitoNa ndio maana mashahidi wanasua Sua kufika mahakamani Ni pamoto kzimbn
Kwa Jaji huyu wa mchongo atafukia kwamba shahidi hajasema hivyoNa aliponitisha zaidi ni pale alipoulizwa kama katika task force yao Kingai ana taarifa tofauti na wengine, akathibitisha kuwa wote wako na taarifa zote pamoja. Kesi hii ni ngumu upande wa Jamhuri. Unakamata madawa ya kulevya halafu hayawi sehemu ya kidhibiti mahakamani, haiko katika certificate of seizure, wala haipelekwi maabara kuleta majibu kama ni madawa kweli au la. Jana nimetambua haya:
a) Kesi ya ugaidi iliwahusu washitakiwa wote isipokuwa Mbowe. Mbowe aliingizwa baadae sana baada ya kuona aliwasiliana nao wakti wa upelelezi dhidi ya makomandoo. Ref: wale makomandoo wengine walioshitakiwa na kuachiwa huru.
b) A5340 ilipandikizwa pamoja na risasi tatu na madawa. Mbili kati ya risasi zilizopandikizwa hazikuwa 9mm kwa hiyo zisingelewa mahakamani (Ref: risasi mbili kutomika katika majaribio ya kupima silaha na kufanya risasi moja tu kuletwa). Mchanganyiko wa Luger CZ100 na A5340 ni wa ajabu kidogo kwa askari ambao katika jeshi la polisi wanaweza kuchukuliwa ni wasomi.
c) Kukosekana kwa ushahidi wa upangaji wa ugaidi kupitia voice au text messages au planted/underscover operative ni udhaifu mkubwa sana katika kesi hii. Confession ya mtuhumiwa lazima iwe backed up na ushahidii coz ushahidi unapaswa kuonesha kosa hata pale panapokuwa hakuna hiyo confession!!
Labda Urio ana ushahidi mzuri zaidi, ngoja tusubiri!!
Una ushahidi kuthibitisha Hilo au unabwata tu.Kalala na mkewe nyumbani usiku wa kuamkia leo- wala sina shida na hilo- ila kuchakachua UPDATES ambazo ni kihererere chake kuzileta humu- public Sphere -HAIKUBALIKI