Picha moja ni zaidi ya maneno 1000 efu moja.. Wekeni picha tukate ngebe za MACCM!
Mkuu Lu-ma-ga kwa hakika Tumaini Makene ni kati ya maafisa bora na makini tulio nao katika vyama vya siasa Tanzania.Anafanya kazi kwa weledi mkubwa sana tumpe heshima yake.Na Mungu azidi kumuongoza.
Wakuu tupieni picha mapema ili magamba presha zikianza kupanda wawahi zile cndano za masaa kabla hspt hazijafungwa!
Tumpe Mungu utukufu.