Ndio mafanikio yanavyokuja. Madanikio ya halali ni jasho kubwa sana. Lazima uwe na uwezo wa kudharau njaa na uchovu.Uko sahihi mkuu.Miaka michache ilopita nikiwa kwenye ajir nilishakua na boss wangu aisee huyo mnaweza mkashindia vikao the whole day na usipolalamika njaa wewe basi utarud home bila kula.Jamaa yy ni kaz tu kula mpaka sijui iwaje na ana hela bala