Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe leo Januari 11, 2022. SP Jumanne Malangahe amaliza kutoa ushahidi. Kesi yaahirishwa hadi Januari 13, 2022

AIgmal.jpg
 
Hii kesi ya michongo,majaji wa michongo,mashahidi wa michongo naona inakwenda kuisha kwa aibu upande uleee wa mlengo wa 2025.
Aibu tena nyingine leo. Hii kesi waifute wanazidi kuaibika. Shahidi wa leo hata pata usingizi wiki nzima. Ametajwa kwenye kundi la wasiojulikana. Sidhani kama alikuwa anafahamu kama watu wanajua anahusima kwenye utekaji. Kesi kubwa sana hii
 
Nimeipenda Sana Cross examination ya leo. Hongera Sana mawakili mkiongozwa na Kibatala Esq. Hata Kama Wakubwa walishapanga hukumu ya kuhalalisha uovu wao, MBINGU zipo, zimesikia na zimeandika.
 
Hii kesi wakati mwingine Mashahidi wa Jamhuri, Jaji anashindwa kucheka mbele yao kwa namna wanavyojichanganya anaamua kwenda kucheka chumbani na mkewe. Et, Ugaidi ungefanyika nchi nzima kwa kutumia bastora ya risasi 3,(Redicusly)

Eti Jambazi Sabaya kutaka kuuwawa ni Ugaidi lakini Lissu aliyepigwa marisasi mbele ya viunga vya bunge si Ugaidi (absurd)
 
Nimeipenda Sana Cross examination ya leo. Hongera Sana mawakili mkiongozwa na Kibatala Esq. Hata Kama Wakubwa walishapanga hukumu ya kuhalalisha uovu wao, MBINGU zipo, zimesikia na zimeandika.
Hahaha leo kali mno.
 
Hii kesi inazidi kudhihirisha kuwa ilitungiwa club
Riwaya ikaandikiwa club
mashahidi walifundishiwa club
Onyesho lipo mahakamani ya 'mchongo'
Kibatala: Kwanini hamkumkamata Mbowe mwezi agust 2020?

Shahidi: Mambo ya kiforensiki

Kibatala: Unafahamu forensic ya kwanza imefanyika july 2021?

Shahidi: Ndiyo

😅😅😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom