Yaliyojiri Fiesta

Yaliyojiri Fiesta

Wazee wa fursa wamepiga pesá za wajinga hizo Tsh.10,000/= kwa kichwa.
 
Ngoma inarudiwa tena leo kuanzia saa 9 pale pale, haya wale wa peteku ni bure!nchi yetu hii kila sehem longo longo!
 
ina maana clous wamefika stage....hata uwezo wa kununua na kufunga automatic geneletaa...au show yenyewe ilikuwa bora iende ili mradi tumekula pesa za watu....au ndo laana ya lady jay dee
 
Fiesta ni nini na inasaidia nini? ...na kwa faida ya nani ... hii ni kutajirisha wajanja wachache tu....
 
Ujinga ni Kwenda FIESTA kupigishwa kelele na watu kisa eti wasanii.
 
LEGE,ushauri wako ndio uliokuwa unafaa kuwa fundisho hao mburula wa mawingu.Kama vp huo ujinga wangekuja kuufanya kaskazini.Iwe MOSHI au ARUSHA ndipo wangejua jinsi gani Kaskazini wanajua thamani ya pesa zao.Nyambaf!
 
Hizi Ndio Sababu zilizopelekea Mahombi, Davido, Diamond na Nay wa Mitego Kushindwa Kupanda katika Jukwaa la Fiesta Jana, Na badalayake Makamuzi yanafanyika Leo kuanzia saa 9 Mchana pale Leaders Bureeee

BAADA ya shoo ya Tamasha la Serengeti Fiesta 2013 jijini Dar kusimama kwa muda leo alfajiri kwa hitilafu ya umeme, inatarajiwa tena kuendelea tena saa 9 alasiri leo katika Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam bila kiingilio chochote.
 
jamani ni kweli kuwa mpaka saa kumi watu walikuwa hawaja-perfom? wamechemka mbaya! hakuna haja ya kuwa na kila msanii wa bongo hao wa nje waliokuja walitosha tu na mpaka muda huo show ingekuwa imekwisha ya nini kuwasimamisha watu masaa 10!? hayo ni mateso sio burudani tena!
 
Ujinga ni Kwenda FIESTA kupigishwa kelele na wajinga.
 
Back
Top Bottom