Yaliyojiri Fiesta

Yaliyojiri Fiesta

Kama mtu kaamua kutoa mwenyewe alichokibeba serikali itoe tamko gani tena mh?

Serikali inawajibika kuhakikisha maambukizi ya VVU Yanapunguzwa kama si kuisha kabisa,kunapotokea mikusanyiko mikubwa namna hiyo tena usiku sehemu za starehe lazima vijana watajihusisha na ngono zembe,kwa mantiki hiyo Serikali lazima itambue ni kwa kiasi gani maambukizi yanatokea sehemu hizo na ni hatua zipi zinachukuliwa kukabiliana na hali hiyo.
 
yale yaleeee ila tetesi zinasema hata kama umeme usingekorofisha bado wasingeweza kutoa burudani iliyokusudiwa maana idadi ya wasanii waliokua wamebakia kupanda jukwaani ni wengi hasa ukizingatia muda ulikua umekwenda sana.

sio mbaya ndio fursa hiyo, poleni wahanga wa fiesta bongo.
 
Yote acheni kubwa huwa ni swala la usalama kila fiesta,nje ya leaders,kwann wanashindwa kudhibit hali ya usalama?
 
Sound system inawezekana DJ Bonny Luv hakushirikishwa.
 
Ni bora ukae na familiya yako au kama vipi ule gomba lako safi kabisa kuliko kwenda kwenye vurugu
 
tujipange kwa fiesta ijayo 2014!! Poleni kwa mlioliwa,..
 
teh teh teh teh teh teh teh safi sana ww ukiona kuna show ipo chini ya hawa clauds fm kaa mkao wa paka chongo mda wowote unaliwa.
maana kuanzia bosi wao mpaka wafanyakazi ni makanjanja wakutupwa.
sema mlio enda wote mafara ilibidi mfanye fujo na kuwaingizia hasara ya mwaka ili nao watie akili.ilibidi lile jukwaa na music systerm yote ndani ya dk 2 tu mnagawana kila 1 anaondoka na chake yaani kweli nyie mabwege tatizo vijana wa dar wengi ni mchele mchele.ndio maana vijana wa tmk huwa wanawakomesha sana kwa kuwapora .
ingekua ni Chugga wangeipenda hii....unakumbuka ile Show ya Fali Ipupa. Watu waligawana vya kwao mpaka viti watu walibeba.
R chugga hawavumilii vitu kama hii
 
Najiskiaga raha sana clouds wakishindwa... Tusubiri Psquare..
 
wale watangazaji wa clouds awabakwi bali wanatoa wenyewe kabaaang wewe tu kama mtumiaji kama yule jonii ba,bibi yake 12, fat dj na kibonde wote.

bei elekezi ya kabaang
 
pumba...u zenu fiesta ndo nin? Mkiambiwa kwenda makanisani hamtaki pelekeni fursa za wa2 huko
 
Ni uchafu mtupu hakuna starehe pale kwanza sound nilikua na mwangwi balaa!
 
hahahaha huyu luge na kusaga ni noma sana wanachezea akili za vijana eti leo wanasema fiesta part 2 hahaha wajinga ndo waliwao bwana!!!ila nakukaribisheni new msasani club november 2 pale kilingeni kila kitu kitakuwepo kinachohusu HIP HOP
 
Back
Top Bottom