Yaliyojiri Fiesta

Yaliyojiri Fiesta

Upuuzi ni kuacha hata kumvua viatu yule madam mchovu au kuchukua saa ya dj feki. Yani hata yule tozi bibi twelve mlishndwa kumnyang'anya hata simu!
 
Afande Sele tena duh njaa kali sana bandugu bangu .
 
wale watangazaji wa clouds awabakwi bali wanatoa wenyewe kabaaang wewe tu kama mtumiaji kama yule jonii ba,bibi yake 12, fat dj na kibonde wote.

Walibakwa wangapi jana
 
ujue kuna vitu vingine huwa havihitaji ufaham au elim ya chuo kikuu kutambua kama unaibiwa au umeshaibiwa inamaaana nyie wote mluiokwenda fiesta mmeamini kuwa umeme ulikatika?
au ni style 2 iliyotumika kuwaibia? hembu tusaidiane juu ya haya maswali machache yaliyokichwani mwangu then ndio tulaum na kulaumiana na kupeana pole.

1. mda wa kuisha show ya fiesta ulikuwa saa ngapi
(ikiwa umeme ulikatika saa 10 usiku/alfajiri?)
2.je ni wasanii wangapi ambao hawakupanda?
hembu ninukuu kidogo ' Wasanii Wengi akiwemo Diamond,Chege,Temba,Madee,Afan de Sele na Wengine Kibao hawajafanya show Wakati walikuepo kwa Ratiba'.
3.kwa wastani kila msanii alikuwa anatumia dk ngapi kupiga show.
tukiweza kupata majibu sahihi na yauhakika ya hayo majibu matatu basi tutajua mbivu na mbichi ni zipi juu ya huu utapeli.

mm binafsi sikubali kuwa umeme ulikatika kwa bahati mbaya na nawashutum na kuwatupia lawama moja kwa moja waandaaji wa tamasha hili sababu wanaijua vizuri nchi yetu hasa dar juu ya suala la umeme iwaje ishu mhim kama hii hawakuandaa jenereta ya dharula? kama sio kufanya makusudi? je kama raia wangeamua kufanya fujo na kufanya uharibufu mkubwa na yangetokea maafa na hata watu kupoteza maisha ingekuwaje ?>ikiwa na pamoja raia kupoteza na kuhalibiwa mali zao?

hivi kweli kama umeme ulikatika saa 10 mbona inaonyesha kama idadi ya wasanii waliobakia kufanya show kama walikuwa wengi sana kulingana na idadi ya masaa yaliyo bakia?

na ukizingatia show ndio ilikuwa inaelekea ukingoni ambako ndio kunawasanii ambao huwa wanafanya show za nguvu na ambao huwa wanakubalika sana hivyo huwa wanatumia mda zaidi kuliko wale fungulia mbwa wa mwanzo?
bila kusahau wasanii wageni kutoka nje ya nchi nao kumbukeni hawakupanda so kweli mda huo wa saa 1 ungetosha kweli?
au hawa waandaaji waliamua kukwepa aibu hii kwa ishu ya kukata umeme? bna kama umeme usinge katika ingekuwaje maana mm naona kama mda ni mdogo sana?

ni mtazamo na mawazo yangu jamani msijenge chuki
 
wakati gass iko sokoni vijana wetu wanashinda wanakesaha nakulala fiesta kweli kazi ipo
 
ujue kuna vitu vingine huwa havihitaji ufaham au elim ya chuo kikuu kutambua kama unaibiwa au umeshaibiwa inamaaana nyie wote mluiokwenda fiesta mmeamini kuwa umeme ulikatika?
au ni style 2 iliyotumika kuwaibia? hembu tusaidiane juu ya haya maswali machache yaliyokichwani mwangu then ndio tulaum na kulaumiana na kupeana pole.

1. mda wa kuisha show ya fiesta ulikuwa saa ngapi
(ikiwa umeme ulikatika saa 10 usiku/alfajiri?)
2.je ni wasanii wangapi ambao hawakupanda?
hembu ninukuu kidogo ' Wasanii Wengi akiwemo Diamond,Chege,Temba,Madee,Afan de Sele na Wengine Kibao hawajafanya show Wakati walikuepo kwa Ratiba'.
3.kwa wastani kila msanii alikuwa anatumia dk ngapi kupiga show.
tukiweza kupata majibu sahihi na yauhakika ya hayo majibu matatu basi tutajua mbivu na mbichi ni zipi juu ya huu utapeli.

mm binafsi sikubali kuwa umeme ulikatika kwa bahati mbaya na nawashutum na kuwatupia lawama moja kwa moja waandaaji wa tamasha hili sababu wanaijua vizuri nchi yetu hasa dar juu ya suala la umeme iwaje ishu mhim kama hii hawakuandaa jenereta ya dharula? kama sio kufanya makusudi? je kama raia wangeamua kufanya fujo na kufanya uharibufu mkubwa na yangetokea maafa na hata watu kupoteza maisha ingekuwaje ?>ikiwa na pamoja raia kupoteza na kuhalibiwa mali zao?

hivi kweli kama umeme ulikatika saa 10 mbona inaonyesha kama idadi ya wasanii waliobakia kufanya show kama walikuwa wengi sana kulingana na idadi ya masaa yaliyo bakia?

na ukizingatia show ndio ilikuwa inaelekea ukingoni ambako ndio kunawasanii ambao huwa wanafanya show za nguvu na ambao huwa wanakubalika sana hivyo huwa wanatumia mda zaidi kuliko wale fungulia mbwa wa mwanzo?
bila kusahau wasanii wageni kutoka nje ya nchi nao kumbukeni hawakupanda so kweli mda huo wa saa 1 ungetosha kweli?
au hawa waandaaji waliamua kukwepa aibu hii kwa ishu ya kukata umeme? bna kama umeme usinge katika ingekuwaje maana mm naona kama mda ni mdogo sana?

ni mtazamo na mawazo yangu jamani msijenge chuki

Hawa jamaa ni wezi tu saa kumi wasanii wote hawajapanda ni upumbavu
 
Sasa hiyo ni raha au karaha?kusimama usiku kucha,kutazama bongo fleva inahitaji moyo sana,maana hakuna jipya,utawasikia mikono juuu..,piga kelelee...mambo vipiii..,huku wameshika sehemu nyeti
 
kumtangazakote Mohombi,hata leo pia hajaperfom.sasa sijui anaondoka na mpunga wake bila kuperform,

kweli hili JOTOHASIRA
 
teh teh teh teh teh teh teh safi sana ww ukiona kuna show ipo chini ya hawa clauds fm kaa mkao wa paka chongo mda wowote unaliwa.
maana kuanzia bosi wao mpaka wafanyakazi ni makanjanja wakutupwa.
sema mlio enda wote mafara ilibidi mfanye fujo na kuwaingizia hasara ya mwaka ili nao watie akili.ilibidi lile jukwaa na music systerm yote ndani ya dk 2 tu mnagawana kila 1 anaondoka na chake yaani kweli nyie mabwege tatizo vijana wa dar wengi ni mchele mchele.ndio maana vijana wa tmk huwa wanawakomesha sana kwa kuwapora .



Jamany tuacheni watoto WA Tmk tupumue

Loh!!
 
Huenda kuna maelf ya vijana wa kitanzania,wameambukizwa ukimwi usiku wa jana kuamkia LEO

Katika mikoa yote 14 waliyozunguka, vijana wengi sana watakua wameambukizwa VVU Maana show zilifanyika usiku,Tunaitaka Serikali itoe kauli juu ya Hili.
 
FIESTA MWAKA HUU WAMESANDA ,WAJIPANGE, WAJIPANGE SANA
1.Umeme wazingua gafla

2.Wasanii kibao walibaki,wafanya SHOW cku iliyofuata, wapewa tym ndogo sana ku-peform

3.Pombe,Matuc ndo kilichoendelea kati ya ‘‘WA MITEGO‘‘ na Adam Mcho.....yaaani ni NOUMA SANA , Ni kudharirishana na kukosoa Maumbile,mavazi na............!!!!!

4.Wasanii wenyewe sasa hao wa NIGERIA, duuuuu, Huwezi kuhamini uwezo wao mdogo sana, cjui wa wapi, Aidha Ma-dancer au upcoming ,.....kuna mtu alinidokeza kuwa hao ni top 1000 wa ‘‘Nigeria star search, kama ile yetu ‘‘Bongo star search....WameboA sANa

5. Kuna mengi sana mabovu...
visit here:
http://GeoSan.com/fiesta_bongo_2013
 
Katika mikoa yote 14 waliyozunguka, vijana wengi sana watakua wameambukizwa VVU Maana show zilifanyika usiku,Tunaitaka Serikali itoe kauli juu ya Hili.
Kama mtu kaamua kutoa mwenyewe alichokibeba serikali itoe tamko gani tena mh?
 
Back
Top Bottom