mwanasheria mkuu ameshasema kila kitu aulizwe yeye,yeye ndo ameshauri
Mtani ubarikiwe, hakuna maombi ya watu wengi ya kijinga, hakika Mungu wetu anasikia maombi yetu. Nami na familia, ukoo wangu na hata hawara zangu, dua zetu ni kuingoa CCM.
Nimesoma mahala kwamba Waziri mkuu atatangaza kujiudhuru kwa Prof Muhongo,Prof Tibaijuka na AG.Halafu Maswi anaachishwa kazi.Aliye na habari mpya atuletee jamvini.
kwa dar tune Capital redio daily wanarusha bunge,kwa jana hata Clouds ilikuwa hewani
capital 101.3
Pa ofisi kuna standby generator leo sitoki kwa ofisi mpaka nisikie mpaka mwisho!!
Digital world,Radio,laptop,tablet,tecno na desktop lazima nipate habari mwanzo mwisho!! 40 minutes to go!!!!
jamani umeme. wamekata
Kwa nini mwanasheria asijiuzuru ili kuwaokoa hao wote maana kesha tamka kuwa awajibishwe yeye kwa sababu ndio alimwagiza!!
unakuaga na matatizo gani?,
ulisema hunywi pombe lakini mbona kama...
Nadhani utakuwa unakaa Arusha maeneo ya Kikatiti ambapo labda mawimbi ya radio one yameanza janamahaba mengine bwana, tusikilize kipindi cha watoto????, sasa kwa taarifa yako, hapa arusha siku zote tunaskilaza bunge kupitia arusha one radio, radio five au sunrise radio and mambo jambo radio ambazo siku zote huwa urusha matangazo, radio one imeanza jana tuuuuuuu
Lipo Jipya Mkuu Na Labda Tu Kwa Faida Yako Na Kwa Wengine Hivi Tunavyobwabwaja Humu Wana CCM Wanamshawishi Werema, Maswi, Muhongo na Masele Kutangaza Kuachia Ngazi. Mangula Anahaha Sasa Na Kinana Hajalala Leo Ukizingatia Mr. TEZI DUME Anatua Leo Saa 9 na Dakika 20 Alasiri. ILA Tatizo Kubwa Ni Kwamba Hao Wahusika Na Wao Pia WEMEPIGA Mkwara Kuwa WAKITOLEWA Kafara Basi Na Wao Watayaibua Ya Mr. TEZI DUME na Wanae Minaj Na Salama Condom. Na Tegemeeni MTAFARUKU MKUBWA Leo Bungeni Na KUNA UWEZEKANO Hata ZIKAPIGWA LEO Bungeni! Hali Ni TETE.
Habari wakuu,
Baada ya jana bunge kuahirishwa usiku, Leo saa tatu limerejea tena na aliekalia kiti ni mama Anna Makinda na ameshaahirisha bunge mpaka saa tano asubuhi kupisha vikao vya vyama(caucus) kuketi.