Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

Huu ndio unafiki. Leo Zitto angeangukiwa na jumba bovu nani angelia nae??
Yani hadi waone kitu ndio wakuone mtu.


Haswaa kama anafanya upuuzi wanini basi

Chadema na Cuf waalikuwa na bifu kubwa sanasana, wamegunduwa makosa yao na wameungana wakasahau yaliyopita.

Sasa tunaupinzani wenye nguvu kwelikweli naumekuwa wakitaifa zaidi baada ya Nccr na bwana makaidi kujiunga umoja huu.

Kuna ubayagani ZZK kusamehewa nakurudi kundini nakuimarisha zaidi nguvu yetu dhidi ya hawa mafisadi.

Ona sasa Simbachawene anasahau kabisa dhana ya mtuhumiwa kuisaidia polisi, sasa anapindisha mtuhumiwa asiisaidie polisi. (yaani asiwekwe lupango)
 
Kama mwenyekiti wa PAC aliesimamia kamati hii ya uchunguzi wa Escrow. Pia amezungumzia jinsi alivyojisikia furaha sana pale alipoingia kwa mara ya kwanza kikao cha UKAWA. Je arudishwe kundini? Ndiyo au hapana.
 
Katika hili pendekezo napingana na kamati maana kumkamata na kumfilisi haiwezekani maana hata yeye anaweza kupinga mahakamani na bunge haliwezi kutoa hukumu!
 
Hakyanani hawa Tanesco wakirudisha umeme baada ya bunge kuisha naandama...Mihela waibe+ watuweke kwenye joto...warudishe umeme alaf wakate dijitali..please
 
Kama mwenyekiti wa PAC aliesimamia kamati hii ya uchunguzi wa Escrow. Pia amezungumzia jinsi alivyojisikia furaha sana pale alipoingia kwa mara ya kwanza kikao cha UKAWA. Je arudishwe kundini? Ndiyo au hapana.

Ngoja nimuulize pinda
 
Back
Top Bottom