Dah wamerudisha umeme saa hizi, nilikuwa nna hamu nimuone ashk majnoon anavyoongea!
Wakuu hamjambo hongereni kwa harakati. Juzi na jana nimesikiliza hotuba na majadiliano yote mjengoni ila leo napumzika - kuendelea itakuwa kama ashki majnuni aliyoisema Mh Chambo!