Yaliyojiri Bungeni: Alhamisi, 27 Novemba, 2014 - Mjadala Ripoti ya Tegeta Escrow Account

Lusinde katoa ushahidi wa kitoto, mtu alitumwa na zito akachukue pesa kwa sigh kwa ni abba ya zito, kama ni kweli hao watakuwa ni matapeli
 
Mpiga kura, wanaume kwa wanawake, Ikiwa mbunge wako atathubutu kumtetea fisadi yeyote, tafadhali chukua tahadhari 2015. Hizo hela wanazoongwa kwa ajili ya kukusaliti iwe ndio hela yao ya kujinunulia majeneza yao ya kisiasa.

Kuweni makini, yeyote atakayetetea Fisadi, awekewe alama katika kipaji cha uso wake.
 
Wabunge wengi n wachangiaji wa Upinzani.wanaongea kwa hoja na visibitisho. Sio CCM wamepewa agenda za kulinda chama mwisho wa siku wanabwatuka na kuonyesha Umma kuwa hawana utashi mzuri, mfano mzuri ni mama mmoja hivi ambaye alipewa taarifa sana.

lile li mwanamke la hovyo kabisa.eti 300-700=0 huyu mama sijui kama anajua kitu
 
Tunajadili mtoa hoja badala ya hoja yake, sidhani kama ni sahihi! Ingekuwa vema tukajibiwa maswali: Zitto alipokea fedha za ESCROW, atuambie zilikuwa halali au la?
Je, fedha za ESCROW zilianza kuwa "haramu" wakati gani? Haya ni baadhi tu ya maswali aliyouliza Lusinde! Tuache dharau tujadili hoja!

Kwa uelewa wangu wa div 5 pesa ilipokuwa BOT ilikuwa halali kuwepo pale, kitendo cha kutoka isivyohalali ndiko kulikoiharamisha
 
1.Kisheria TANESCO kama mlipaji malipo IPTL alikuwa anatakiwa a withhold Tax na aipeleke TRA.
Withholding tax kama TANESCO hawakuibakiza Tatizo ni la Tanesco sio PAP

2.Ripoti ya CAG ilisema hela za Escrow zaweza kuwa serikali au si za serikali.Kwa nini hawakusema wazi ili wabunge wajue? Kwa nini wametoa SENTENSI TATA ya kuchanganya wabunge kama hiyo

3.Waliopewa hela za ESCROW zile hela walizopewa ziwe treated kama personal income na waliofaidika walipe kodi kutokana na mapato hayo ya mgawo

4.Kodi ya VAT na ushuru wa STAMP haijapotea sababu kampuni bado ipo na imesaini hati ya dhamana kuwa kama kuna madai yeyote yapelekwe kampuni ya PAP ni swala la TRA kwenda kudai hizo kodi
 
Kwa ulimwengu wa sasa elimu tena elimu bora ni kitu cha muhimu sana. Sasa hivi ili usidhulumiwe elimu ni muhimu, ujadili mipango ya maendeleo na wengine unahitaji elimu ili kufanya rejea, inaendelea hivyo hivyo.
Jana katika Bunge la JMT kwenye mjadala wa Escrow tumeshuhudia uwezo mdogo wa uelewa uliokuwa unaonekana kutoka kwa baadhi ya Wabunge hasa kwa Lusinde, Chombo na yule mama wa viti maalum. Kupoteza muda kuchangia kitu ambacho hata hukielewi ni uharibifu wa muda lakini kanuni zinaruhusu mbunge kuchangia bila kujali anaelewa asemacho au la.
Hapo ndio suala la Elimu linapokuja, mtu mwenye elimu hata siku moja hajiingizi kwenye mjadala ambao hana hata moja analolielewa. Na hicho kigezo cha kujua na kusoma tuu kama kinavyendekezwa na katiba yao kitatuzalishia Wabunge kama tuliowaona jana wengi na kupelekea kushindwa kuelewa nini kinaletwa mbele yao.
 
1.Kisheria TANESCO kama mlipaji malipo IPTL alikuwa anatakiwa a withhold Tax na aipeleke TRA.
Withholding tax kama TANESCO hawakuibakiza Tatizo ni la Tanesco sio PAP

2.Ripoti ya CAG ilisema hela za Escrow zaweza kuwa serikali au si za serikali.Kwa nini hawakusema wazi ili wabunge wajue? Kwa nini wametoa SENTENSI TATA ya kuchanganya wabunge kama hiyo

3.Waliopewa hela za ESCROW zile hela walizopewa ziwe treated kama personal income na waliofaidika walipe kodi kutokana na mapato hayo ya mgawo

4.Kodi ya VAT na ushuru wa STAMP haijapotea sababu kampuni bado ipo na imesaini hati ya dhamana kuwa kama kuna madai yeyote yapelekwe kampuni ya PAP ni swala la TRA kwenda kudai hizo kodi

kwa hiyo ulitakaje sasa
Mnajiona mmeshinda hiyo kesi sisi bado lipo kwenye mind zetu itajulikana tu.
 
Yaani kazi ya upinzani inakuwa rahisi kadri siku ziendavyo maana watawala wameamua kuweka mambo dhahiri!!!
 
kwa sakata la escrow,ccm wamejiwekea kuti kavu katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguz mkuu ujao.ccm itapoteza viti vingi sana na hata nafasi ya urais wanaweza kuikosa au kupata kura ndogo sana
 
Kwa ulimwengu wa sasa elimu tena elimu bora ni kitu cha muhimu sana. Sasa hivi ili usidhulumiwe elimu ni muhimu, ujadili mipango ya maendeleo na wengine unahitaji elimu ili kufanya rejea, inaendelea hivyo hivyo.
Jana katika Bunge la JMT kwenye mjadala wa Escrow tumeshuhudia uwezo mdogo wa uelewa uliokuwa unaonekana kutoka kwa baadhi ya Wabunge hasa kwa Lusinde, Chombo na yule mama wa viti maalum. Kupoteza muda kuchangia kitu ambacho hata hukielewi ni uharibifu wa muda lakini kanuni zinaruhusu mbunge kuchangia bila kujali anaelewa asemacho au la.
Hapo ndio suala la Elimu linapokuja, mtu mwenye elimu hata siku moja hajiingizi kwenye mjadala ambao hana hata moja analolielewa. Na hicho kigezo cha kujua na kusoma tuu kama kinavyendekezwa na katiba yao kitatuzalishia Wabunge kama tuliowaona jana wengi na kupelekea kushindwa kuelewa nini kinaletwa mbele yao.

Mkuu, yule mama alikuwa ni majanga ya Snura! Alikuwa na jazba lakini hajui anaongea nini. Kichekesho eti ni Mwalimu. Unaweza kuhisi hao wanafunzin wake anawafundisha kitu gani. Baadaye akaja kibajaji. Hajui tofauti kati ya hisa 7 au asilimia 70 ya hizo hisa. Anasema hisa asilimia 7! au Asilimia 3 za Rugemarila.
Kwa wabunge wa aina hii wakati nchi ina wasomi wa elimu ya chuo kikuu lukuki ni hatari kwa taifa letu. Nahisi ndio maana Kibajaji kapewa kazi ya kumlipua Zitto kwa kuwa mwenye elimu angehoji hayo makaratasi aliyopewa. Lakini tusubiri Zitto ajibu hoja ya kuchukua hela za Singasinga.
 
Mahakama ya usuruhishi ya Kimataifa tangu mwezi wa pili iliwaambia tanesco wapige hesabu upya ili na wao wapate haki na kupewa mgao wao,walipewa siku tisini mpaka leo hawajafanya hivyo sababu pesa ilishaliwa tangu mwaka jana-Kafulila!!

Wahisani hawatatoa misaada mpaka kieleweke.
CCM jifanyenyi hamjui wakati ni ikulu ndio iliruhusu!!!!
Waliotenda uovu huo mtapona dodoma lakini mtaani na akhera mtajibu!!
 
kwa sakata la escrow,ccm wamejiwekea kuti kavu katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguz mkuu ujao.ccm itapoteza viti vingi sana na hata nafasi ya urais wanaweza kuikosa au kupata kura ndogo sana

Hivi huu uchaguzi wa serikali za mitaa mbona kimya sana...hata posho yake ipoje?! Pana kijana wangu anaandikisha hao wapiga kura lakini analia njaa sasa nimeuliza hawajilipwa au nikujitolea tu?! Mwenyekufahamu hizp rates zao.
 
Back
Top Bottom