Yalionikuta mtaani sina hamu

Yalionikuta mtaani sina hamu

Sina mda mrefu toka nipate ajira iliyonifanya niame toka kwa wazazi na kupata chumba magomeni mtaa kapuni si mwenyeji hapa mtaani ratiba zangu saa 12 asubui nachomoka kwenda jobu na narudi majira ya jioni, siku za jmosi na jpili siendi job.

Kilichotokea jmosi moja niko home napiga usafi wanguo yani nafua nilipomaliza nikaenda kununua maji jirani na ninapoishi kwenye tank nikapatiwa uduma na kabint kamoja hivi kazuri kiasi nilivyomuona nilihisi ananijua maana alinichangamkia akaniuzia maji huku akinioji maswali kadhaa then nikaondoka zangu.

Mchana nipo nje ya nyumba niliyopanga nasoma gazeti moja la michezo akaja mtoto kama wa miaka mitano hivi akanipa karatasi akasema ametumwa na Dada V jina lake linaanzia na hiyo herufi nikapokea nikasoma ndani niyule msichana alieniuzia maji akajitambulisha kwenye barua zaidi anaomba namba yangu ya cm na anasema anataka niwe wake ila kwa siri maana anasoma kidato cha 3 shule akanitajia.
Dakika kadhaa yule Dogo akarudi anasema amefata majibu nikamwambia asiwe na haraka hivyo sikutoa.

Baada ya siku 3 Demu kanitegea mingo stendi akanibembeleza nikubali ombi lake nikamwambia asiwe na haraka kwani mambo mazuri hayataki haraka.

Baada kama ya wiki nikapata habari yule Demu anaumwa kutoka kwa yule dogo.
Usiku mama mmoja amekuja anajitambulisha ni mama wa yule binti anataja kujua uhusiano na mwanae nilianza lini nilikataa mwisho nikamueleza ishu ilivyokua mama aliondoka kama hakuniamini vzr siku ya pili narudi kutoka job mama kanitimbia geto anadai amekuja tukubaliane juu ya kumsaidia binti yake maana amepata kama ugonjwa maana shule asomi nyumbani kama anaumwa mda wote ananiwaza mimi kwahiyo mama ameniomba nami niigize kama nampenda binti yake ili apate kusoma.

Waungwana hebu nishaulini natamani kuhama mtaa lakini kodi yangu niliolipa bado kubwa nifanyeje maana naona kama huyu mama anataka kuniingiza kwenye mtego.
Ukikubali tu,,,,,

Wafwaaaaaaaaaaaahhh!!!!!
 
Watu wengine mnauwezo mzuri wa kutunga story kwaini usitumie hiyo fursa kuwauzia wasanii wa bongo movie?
 
Mkuu
Naamini stori yako, ndio mambo ya pwani, iliwahi kunitokezea ni similar story, lakini kuuvua huu mtego nilimwambia hivi, mpenzi wangu wa zamani alikufa kwa ngoma, so nakuomba tukapime pamoja, peke yangu naogopa, mtoto alikalia mbali na alikataa kata kata, sasa nakushauri, mwambie huyo mama kuwa mpenzi wako kafa kwa ngoma, huyo binti atazinduka na utakuwa free.. Ispokuwa sema hujui afya yako
 
Kemea huu ujinga, mi mama ya pwani ni ya ovyo sana, tumeshuhudia mengi, ukicheza utasingiziwa mimba mchana kweupeee, kaa mbali hiyo ni sumu ya panya haionjwi
We umejuaje kama ni wa pwani ? Kwa magomeni wanaishi watu wa pwani pekee ?
Kwani anaumwa nini huyo binti au amekuona wewe ni jini mahaba hivyo umemkumba yeye??
Vpi hali ya kiuchumi katika familia zao wanajiweza au ndo vile sukuma wiki tu??
 
Sina mda mrefu toka nipate ajira iliyonifanya niame toka kwa wazazi na kupata chumba magomeni mtaa kapuni si mwenyeji hapa mtaani ratiba zangu saa 12 asubui nachomoka kwenda jobu na narudi majira ya jioni, siku za jmosi na jpili siendi job.

Kilichotokea jmosi moja niko home napiga usafi wanguo yani nafua nilipomaliza nikaenda kununua maji jirani na ninapoishi kwenye tank nikapatiwa uduma na kabint kamoja hivi kazuri kiasi nilivyomuona nilihisi ananijua maana alinichangamkia akaniuzia maji huku akinioji maswali kadhaa then nikaondoka zangu.

Mchana nipo nje ya nyumba niliyopanga nasoma gazeti moja la michezo akaja mtoto kama wa miaka mitano hivi akanipa karatasi akasema ametumwa na Dada V jina lake linaanzia na hiyo herufi nikapokea nikasoma ndani niyule msichana alieniuzia maji akajitambulisha kwenye barua zaidi anaomba namba yangu ya cm na anasema anataka niwe wake ila kwa siri maana anasoma kidato cha 3 shule akanitajia.
Dakika kadhaa yule Dogo akarudi anasema amefata majibu nikamwambia asiwe na haraka hivyo sikutoa.

Baada ya siku 3 Demu kanitegea mingo stendi akanibembeleza nikubali ombi lake nikamwambia asiwe na haraka kwani mambo mazuri hayataki haraka.

Baada kama ya wiki nikapata habari yule Demu anaumwa kutoka kwa yule dogo.
Usiku mama mmoja amekuja anajitambulisha ni mama wa yule binti anataja kujua uhusiano na mwanae nilianza lini nilikataa mwisho nikamueleza ishu ilivyokua mama aliondoka kama hakuniamini vzr siku ya pili narudi kutoka job mama kanitimbia geto anadai amekuja tukubaliane juu ya kumsaidia binti yake maana amepata kama ugonjwa maana shule asomi nyumbani kama anaumwa mda wote ananiwaza mimi kwahiyo mama ameniomba nami niigize kama nampenda binti yake ili apate kusoma.

Waungwana hebu nishaulini natamani kuhama mtaa lakini kodi yangu niliolipa bado kubwa nifanyeje maana naona kama huyu mama anataka kuniingiza kwenye mtego.
KUNA MTU ALISHAFANYIWA HIVYO SIKU ZA NYUMA,
AKAPATA KESI YA UBAKAJI.
OGOPA.
 
Back
Top Bottom