Ndetimakete
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 402
- 306
Project in process........utaoa bila kupenda.na utahudumia familia nzima.kimbia toka nduki kimbia moto huo....usisahau mrejesho
Project in process........utaoa bila kupenda.na utahudumia familia nzima.kimbia toka nduki kimbia moto huo....usisahau mrejesho
Tena mbaya zaidi wanajua jamaa yupo single watu wanataka kujiweka mapemaaaaaNdoa ya mkeka inakunyemeleaa.
Magu kakaza mtaani namba zinasomeka, wewe asubuhi na kabegi kako kalaptop huyoo job wakikutazama..hawakuachi.
Nina fikra nyingi sana kaka anguHaya dadaUkhuty! tujuze unafikiria nini?
Waungwana hebu nishaulini natamani kuhama mtaa lakini kodi yangu niliolipa bado kubwa nifanyeje maana naona kama huyu mama anataka kuniingiza kwenye mtego.
Nina fikra nyingi sana kaka angu
Abari za hasubui...hahahahaRekebisha hapo kwenye red..
nihame,
asubuhi,
huduma,
akinihoji,
nishaurini
Huwezi kuamini Kama haujawafahamu vizuri wamama wa kiswahiliMtu kuamini hizi hadithi zako kunahitaji awe na roho ngumu kama mbabe uchwara maana nawe unalazimisha wana jf tukuombee kwa Mungu.
good ideaAnza na huyo maza, mlambe kwanza zen ndo huyo mtoto.
Hahahahaaaaaaa duh!kuna viumbe wanaushauri aseee!!huyo mama ana mvuto?... lazima uwafundishe adabu japo kdg....kama la......rudi home kimya kimya tafuta chumba mahali pengine...... ila kama anamvuto......tafuta chumba kwanza.......kung'uta mpaka atoe vumbi.....then hama fasta....ni ushauri tuu...

kazi yetu ni kushauri.....kutekeleza juu yako.....upooo!!Hahahahaaaaaaa duh!kuna viumbe wanaushauri aseee!!![]()
![]()
![]()