ndukumTakotu wewe
Chiu wewendukum
Ina maana na reli zitafufuliwa sababu moja ya sababu ya reli kuhujumiwa ni watu kama Lake Oil kuua barabara na kuhujumu miundo mbinu yote ili tenda za matengenezo ziwepo kila siku na malori yatembee ili pesa ziingie mifukoni. Ni rahisi kudhibiti mzigo wa usafiri mmoja lakini si rahisi mzigo huo huo ukiwa kenye magari 50 ukaudhibiti. Utapigwa tu!!!!!Kama yameuliwa nahisi ajira kubwa sana itakuwa imepotea
Naomba kazi nami niendeshe mnyama wa ki south!Acha maneno gari hizi zipo na kaz tunapga kama kawa ila bei ya dizel inatukata sana na sasa tuna oda ya dalbit kupeleka zambia karibu miezi 6 mfululizo ikifika dar gari n kupakia na kusepa![]()
![]()
Mnyama huyo R470 hyo chuma weka na basi af naitanguliza mbele ila hafiki mbali ashaptwa 470Horsepower Ilitokea sauz mwaka jana ziliingia kama 100 hyo ngao mbele karibia milion 4 ya kibongo we endleza maneno.
Pichanya Juu hapo Lusaka hyo
mbupu weweChiu wewe
Acheni upumbavu vyura nyie...acheni kufatilia mambo ya watu...mnashinda mitandaoni kufatilia maisha ya watu.Waungwana,
Mwaka jana tulikuwa tunaona magari makubwa ya mafuta yenye chata ya Lake Oil, ila kipindi cha mwisho wa kampeini za uchaguzi magari hayo hayakuonekana barabarani tena hadi sasa.
Hivi kilitokea kitu gani kwa hayo magari, na je! Mmiliki wa magari hayo alikuwa nani? Kama anajulikana hana harufu ya watumbuliwaji?
View attachment 346370
Picha ya mfano wa magari ya LakeOil
Sidhani km inshu ni wivu?tatizo hapa hizi biashara nyingi zinafanywa kijanjajanja na hawalipi kodi stahiki matokeo yake nchi haifaidiki kwa lolote.Mfn hawa lake inasemekana wanadeclea mafuta kua niya transist tra ila mwisho wake wanayauza hapa kwa ewura price, mafuta ya transist hayana kodi then wao wanayaingiza kwy mzunguko(localisation) kwa bei ya ewura then wanakula cha juu na kodi hawalipi.Huo ni ukwepaji kodi na udanganyifu.Hii ndio inshu mkuu.Sisi Watanzania tuna wivu sana
Kiufupi hatupendi mtu aendelee zaidi yetu
Hata raisi wetu hapendi watu waendelee ndio maana anataka watu waishi kama shetani
Tufanyeni kazi tuishi tutakavyo kwa kumpendeza Mungu
Haya majungu na kutakiana mabaya hayatusaidii kamwe
Kwanini uombee kampuni ya mtu ife badala ya kumuombea afaidike zaidi ili watu na familia zao zipate ajira?
Lake ikifa unajua familia ngapi huumia?
Mi nawapenda matajiri wote na sina tatizo nao
home shooping center kaondoka nayo!
we jamaa mbona unaonekana kama una upeo kwa nini unang'ang'ana na kazi za warabu si uende zako joberg ukakamate michuma freightliners usebenze kwenye kona za kasumbaresa huko aiseeHajui lake oil n group of companies kuna Lake oil depot
Lake oil gesi
Gulf premix mambo ya ujenzi kuna lake trans zile gar za cargo ambazo hazion wanapga transit kuna African Inland container depot iko nyuma ya tazara depot ya makontena sasa huko ndo n shida gari zake ba yadi yake kaua mbayaa af baba ake ana kampun ya magar inaitwa edha awadh au overlandlogistics dada ake ndo mwenye azania kama azam pale tazara...!!!! Sasa hawa sijui mtoa mada atawakuta wap
Yapo vijibweni kuna sehem yame park hayana kazi na pale kwenye storage inasemekana matank yote ni matupu.
we jamaa mbona unaonekana kama una upeo kwa nini unang'ang'ana na kazi za warabu si uende zako joberg ukakamate michuma freightliners usebenze kwenye kona za kasumbaresa huko aisee
kifupi mimi nimelenga maslahi siamini kama mwarabu analipa zaidi ya kampuni za kizungu plus mazingira ya kazi....inaonekana kama ushakunywa maji yaliyofulia kanzu za warabu karagabahoSasa freightliner umeona ni gar huko kote unakosema tumepita kinyama yani kuanzia kongo mpka sauz namibia beira tushamaliza.
kifupi mimi nimelenga maslahi siamini kama mwarabu analipa zaidi ya kampuni za kizungu plus mazingira ya kazi....inaonekana kama ushakunywa maji yaliyofulia kanzu za warabu karagabaho
Umemsahau Dhando..mkuuMtoa post hajielewi anasema Lake oil kuna watu kama wakina Asas wana gari kama 500+ watu kama famari 300+ kuna ak transport nae kama 300 hiv na kuna kampun kibao wana gar kibao acha af anasema Lake oil mbona mchumba sana kuna Usangu Logistics ana Gari mpaka Kerooo hata 700 zinafika.. Tz zambia kongo na sauz africa.