Sijakuelewa mkuu...besti wewe si King'asti??
ALAFU NASIKIA VITUO VYAKE VYA MAFUTA MAUZO WALIKUWA HAWAPELEKI HELA BENK, KULIKUWA NA MAGALI LAND CRUICER NDO YALIKUWA YANAPITA NA KUKUSANYA PESA ..
nimekusomaUkweli ni kua magari bado yapo, na mjini hapa utayaona mengi ya Gulf Concrete, achilia mbali za mafuta utakazokutana nazo njiani kama waenda Mbeya na nyingi zikipeleka mafuta Kongo.
Kampuni ni ya dogo mmoja ambae umri wake kwasasa ni kama 35-36 yrs, anaitwa Alii na ni mtanzania mwenye asili ya kiarabu. Ofisi yake ipo pande za mikocheni hapo.
Sidhani kama kampuni yake ina tatizo na serikali japo jamaa ni jeuri na mbabe sana, ofisin kwake akiwa anaingia wafanyakazi wote hukaa kimya kama chura wa snura akimwagiwa Maji ya moto !
alisema mfanyakazi wa mojawapo kituo
Bosi acha stori za vijiweni,pamoja na EWURA hii ni biashara stable sana yenye faida ya kiwango/supernormal.Watakuwa wamebadilisha biashara...biashara ya mafuta siku hizi hailipi baada ya zile mita kufumaniwa!!
Takotu wewebesti wewe si King'asti??
Bwana dreva una miaka mingapi hapo lake? Naona unatokwa povuAcha maneno gari hizi zipo na kaz tunapga kama kawa ila bei ya dizel inatukata sana na sasa tuna oda ya dalbit kupeleka zambia karibu miezi 6 mfululizo ikifika dar gari n kupakia na kusepa![]()
![]()
Mnyama huyo R470 hyo chuma weka na basi af naitanguliza mbele ila hafiki mbali ashaptwa 470Horsepower Ilitokea sauz mwaka jana ziliingia kama 100 hyo ngao mbele karibia milion 4 ya kibongo we endleza maneno.
Pichanya Juu hapo Lusaka hyo
Bwana dreva una miaka mingapi hapo lake? Naona unatokwa povu