Magari yapo mengi tu,njoo kibaha picha ya ndege ndio headquarter ya lake oil,dar yamehamishwa ktkn na ufinyu was eneo na foleni.Waungwana,
Mwaka jana tulikuwa tunaona magari makubwa ya mafuta yenye chata ya Lake Oil, ila kipindi cha mwisho wa kampeini za uchaguzi magari hayo hayakuonekana barabarani tena hadi sasa.
Hivi kilitokea kitu gani kwa hayo magari, na je! Mmiliki wa magari hayo alikuwa nani? Kama anajulikana hana harufu ya watumbuliwaji?
hivi kutoka Lugoba hadi Msoga sio mbali sana?Lake oil yapo,barabarani napishana nayo sana tu, mengine yanabeba kokoto from lugoba
Sio mbali tutaongea na mbunge wetu tuanzishe mradi wa usafirishaji.hivi kutoka Lugoba hadi Msoga sio mbali sana?
Kuna mdau alinidokeza kwamba mengi yalihamishiwa nchi jirani Msumbiji na Zambia, sijui kama ni kweli lakini make za kuambiwa...Tena hawa jaamaa wanadaiwa pesa nyingi na serikali kwa kukwepa kodi, vipi wameshalipa au upepo ulipita tu.
so, wamekimba magari ili yasitaifishwe wakishindwa kulipa kodi?! kazi ipo.Kuna mdau alinidokeza kwamba mengi yalihamishiwa nchi jirani Msumbiji na Zambia, sijui kama ni kweli lakini make za kuambiwa...
Nani kakudanya kilicho badilishwa ni chupa sio..........Ile serikali ya wapigaji si imeshaondoka ,hayawezi kuwa barabarani
besti wewe si King'asti??Yaani baada ya kukusoma ndio nimeshtukia kuwa ni kweli sijayaona kitambo. Waungwana kujeni kipande hii mtujuze pliiiz