Yajue yote kuhusu mradi wa Blue Beam

Uwongo ndiyo uti wa mgongo na moyo wa agenda hii ya Ushoga.



Daktari analizungumzia hili la kinasaba cha ushoga.

Leo tunatizama uongo wa kusema ‘USHOGA NI MAUMBILE YA ASILI’ au ‘USHOGA UPO KWENYE VINASABA ‘DNA’ ZA BINADAM.
Huo ni urongo kama tutakavyo ona.









Kusema kauli hizo, ni kwa makusudi mazima ya kupunguza msuguano na makali ya nguvu kinzani dhidi ya ushoga. Kwamba hali ya ushoga mtu anazaliwa nayo, na kwamba ni maumbile ya kiulimwengu ambayo inabidi wengine tuyakubali na tusiwapinge wala kuwaoneshea vidole.

Hii ndiyo kazi ya sayansi na wanasayansi wa kutengenezwa, kwamba wamegundua kunayo kinasaba katika maumbile ya binadam aynayo mfanya kuwa shoga.



Lakini ukweli wa msingi ni kwamba, mtu hazaliwi ‘shoga’ lakini anachagua kuwa shoga katika mwenendo wa maisha yake. Hivyo ushoga mtu hazaliwi nao, bali ni tabia nayo amua kuifuata mtu baadae katika maisha yake kama zilivyo tabia zingine. Mtu hazaliwa na ‘kinasaba’ cha wizi au uzinifu lakini mtu anachagua kufanya matendo hayo katika mwennendo wa maisha yake, na akitaka pia anaweza kuyaacha na kuwa sawa na wanajamii wengine.

Kama yalivyo matendo mengine maovu, ushoga nao ni mojawapo ambayo ni kinyume na sheria za kimaumbile zilizo wekwa na Muumba Mwenyewe. Kutengeneza mbadala mwingine dhidi ya ukweli huu, ili matendo yao machafu yafanyike bila yeyote kuguna ni moja ya njia ya kupunguza haya na aibu kwa mashoga ambao wengi wao wanajidhiki na kuteseka na msongo wa mawazo unao sababishwa na mkanganyiko baina ya nafsi na akili zao.





Kwamba ITS OK TO BE GAY! Lakini ndani kabisa kwenye nafsi zao, wanapokuwa wenyewe, na kuzitazama nafsi zao, na kuzihoji akili zao juu hili, hakuna wanachopata zaidi ya aibu, haya, soni, mashaka, vinavyo pelekea kupata msongo wa mawazo, na mwisho kabisa kukiri katika nafsi zao kuwa wanacho kifanya kinapingana na sheria za kimaumbile.


Lakini ndiyo wameshageuzwa kuwa mashine ya kuitengeneza jamii kukubaliana na uozo huo, watafanyaje? Inabidi wameze japo ni chungu, mwisho wa yote wanaishia kuteseka wao na kila aina ya dhila unalo lijua, watatumia dawa za kulevyia kupindukia, ulevyi kupindukia, kila aina ya uchafu wa kupindukia na mwisho wa siku wanaacha, ‘socide note.’





Wakufunzi wa agenda hii wanatumia msamiati kama vile, ‘we are born that way’, kauli hii inawapa matumaini mashoga waweze kupambana na nafsi zao wenyewe ambazo zinakiri kuwa ‘they ate not born that way’, lakini pia inawapa wanasodoma ‘confidence’ ya kutembea kifua mbele na kujitangaza kwa uma kuwa wao ni wanasodoma na gomora.


Hawataki kusikia kabisa kwamba usodoma na gomora ni ugonjwa na unatibika. Kukubali kwamba ushoga ni ugonjwa na unatibika ni kukubali kwamba ushoga si maumbile ya asili na wala hakuna kinasaba cha ushoga. Hivyo hilo linapingwa vikali na usishangae ukafunguliwa mashtaka ya kuwabagua na kuwanyanyapa mashoga chini ya vifungu vya haki za binadam.


Katika mazingira ambayo watu wa jinsia moja, mathalani wanaume wametengwa, kama magerezani, mashuleni, jeshini na kwengineko, baadhi ya wanaume watafanya vitendo vya ushoga kwa makusudi kama njia ya kuonesha, ubabe, nguvu, kiburi, utawala wa mabavu dhidi ya mfanyiwa. Lakini wote mfanyiwa na mfanyaji baadae katika maisha yao wataoa na watapata watoto.

Utaona ni maamuzi ya mtu kuchagua kupita njia hiyo. Mashoga wanapiga kelele kama kuna uchaguzi, basi uchaguzi wa wao kuwa mashoga haujafanywa na wao, bali ni mpango wa Mungu. (Mola Tusamehe) Hivyo wanaukataa ukweli kwa kumrushia lawama Muumba kwamba ndiye aliye wachagulia kuwa hivyo. Lakini kwenye masuala mengine ni uchaguzi wao, kasoro hili, utaona ubinafsi walio nao, mazuri ya kwao, mabaya, ya Mungu.


Utawaona mashoga wanatembea kwa mshikamano, wakiwa uchi au nusu uchi, kuelezea uhalali wao wa kuwa mashoga. Lakini hili huwezi kuliona kwa watu ambao si mashoga kwamba wanatembea kwa mshikamano kuelezea jinsia yao, au kuwalazimisha watu kuifuata na kuikubali, hii ni kwasababu kile kinacho elezewa na mashoga kuwa ni chao, si chao bali wamekiokota walipo kiokota na wanataka kukihalalisha kwa kila namna na kwa kila jinsi kwa wengine ili waishi kwa amani, lakini, mwizi ni mwizi tu, anaporudi ndani kwake na kuhesabu marundo ya fedha alizopora, anakiri kwa nafsi yake kwamba si zake bali kapora, na ilivyo kwa mashoga, mwisho wa siku wanapokuwa wenyewe, bila kamera mbele yao, bila kipaza sauti karibu yao, bila mashoga wenzao pembeni yao, wanakiri, hili si langu, na huyu si mimi!!!!


Haijalishi ni ukelele mkubwa kiasi gani unao pazwa, au ni nguvu kiasi gani inayotumika kulifanya jambo la ushoga ni jambo la kawaida, ukweli utabaki kuwa ukweli siku zote, bahari ya maandishi ya kughushi, na propaganda zinazofika kwenye kilele cha mlima Kilimanjaro haviwezi kubadilisha ukweli huo. Kwamba Ushoga siyo ‘life Sytle’ bali ni ugonjwa wa akili na unatibika kwa anayetaka kufanya hivyo.

Siku zote ugonjwa haubebi chochote ispokuwa magonjwa, na ukiachwa utaendelea kualika magonjwa mengine yaje kushiriki karamu. Ugonjwa wa ushoga nao uko hivyo hivyo, tafiti huru na zilizo kawaida kabisa zinaonesha hili.


· Kiwango kikubwa cha msongo wa mawazo, woga na wasiwasi kwa ujumla wake, utumiaji wa dawa za kulevyia wa kupindukia na mfano wake, yameripotiwa kwa kiasi kikubwa kwa mashoga, tena vijana.

· Kiwango kikubwa cha wasiwasi, mabadiliko ya mara kwa mara ya tabia, matumizi makubwa ya huduma za afya, hasa afya ya akili (saikolojia) nalo limeripotiwa kwa kiasi kikubwa kwa mashoga kuanzi miaka 15 mpaka 54.


· Ushoga wenyewe umekuwa ni ugonjwa dhidi ya utamaduni wa sehemu husika na kumekuwa na vita baina ya jamii ya mashoga na wale wasio kuwa mashoga.

· Ugonjwa wa ushoga umepelekea mpaka kwa nchi na viongozi wa kidini kulazimishwa kubadilisha katiba au vitabu na mafundisho ya dini zao ili waweze kuwapa mashoga haki sawa na raia au waumini wengine.




· Mashoga wanabadilisha sheria za kuasili, ili waweze kuasili watoto, na baadhi ya nchi wamesha ruhusiwa kufanya haya. Wanapora watoto wa wengine na kuwafanya wa kwao. Hawataki kuwa na watoto lakini wanataka kuwa baba na ‘mama’ wa watoto wa watu wengine. Ajabu sana.
· Watoto wadogo wa kiume wamekuwa waathirika wakubwa wa vitenfo hivyi vya kishoga, kutoka kwa makasisi, viongozi wa kidini wanao tumainiwa, walimu na viongozi wengine katika nyadhifa mbalimbali, watoto wetu wa kiume si salama kwenye macho ya wagonjwa hawa.


Watu wa haki za binadam, wanaharakati wa haki sawa na zile za mashoga, wamefanya kazi hii chafu kwa nguvu na kila hila na mbinu waliyoijua kumimina propaganda za kila aina kwa jamii ili wailaghai na kuwarubuni kukubali uozo huu kwenye maisha yao ya kila siku, hali wanajua kabisa ushoga ni uchafu, uozo, ugonjwa na moja ya mbinu chafu za shetani za kumshusha binadam katika hadhi ya chini kushinda mnyama.

Kusema ushoga unayo kinasaba ni propaganda za kuzishika akili za watu kama walivyo zishika kwa kutuambia kuwa ukimwi umeletwa na sokwe. Hawana ushahidi wowote wa hicho kinacho itwa sayansi kuthibitisha madai yao hayo ya kinasaba cha ushoga, kama ambavyo ni zaidi ya miaka 30 sasa na hawajaweza kuthibitisha japo kwenye karatasi moja la A4 kuwa ukimwi umeletwa na sokwe.


Yote wanayo taka kuyafanya ni kuona dunia nzima imezingirwa na kiza cha maovu, ufedhuli, ushetani na kila baya unalo weza kulifikiria ili dola ya kiza, dola ya shetani, dola ya Al Masih Dajjal/Mpinga Kristo isimame pasina kizuizi.

Nadharia kwamba ushoga una kinasaba cha DNA kwa muhusika na kwamba ni kitu ambacho muhusika hawezi kukibadili sababu ndivyo maumbile yake yalivyo, na sawa yeye kuwa hivyo, na ni makosa makubwa kumnyooshea vidole na kumlaumu, watu wenye nadharia hii wanatukuza vitendo vya Sodoma na Gomora na kumnyooshea kidole yule ambaye anasema tofauti.


Lakini ukweli ni kuwa shoga anatengenezwa, au anajitengeneza, lakini mtu hazaliwi shoga. Mtu anafanya uchaguzi wa kuwa shoga kama ambavyo mlevi anavyo chagua aina ya kilevi anachotaka, lakini haimaanishi kuwa kazaliwa mlevi.

Wazazi / walezi wanayo nafasi kubwa ya kuamua mtoto awe nani baadae. Familia ambayo inasema ni sawa mtoto kuwa vyovyote atakavyo, inafanya kosa kubwa la kusimika misingi ambayo baadae itakuwa chanzo cha mtoto huyo kuwa ni adui kwa jamii.


Mtoto anaye lelewa na mashoga wawili unadhani hatma yake itakuwaje?
Unadhani mtazamo wake utakuwaje juu ya suala hilo?
Kwanini basi kama ushoga ni kitu unazaliwa nacho kufanyike kmapeni kubwa ya gharama kubwa, hata nchi itishiwe kunyima misaada kwa sababu tu inawanyima mashoga ‘haki’ zao.



Kwanini waandamane barabarani uchi? Kwanini waendee umbali wote huo ni kitu gani wancho jaribu kusisitiza? Kwamba wako Ok? Au wanajifariji kwamba wanaweza kukubalika kwa njia hiyo? Mbona basi kesi za wao kujiua zimekuwa nyingi kushinda watu wa kawaida?




Mtanange wa mada hii bado unaendelea, tukutane tena hapa, kutizama namna ushoga unavyo fundishwa kwa watoto ... Yes watoto wanaanza kufundishwa siyo ngono tu, lakini ushoga pia ... anafundishwa wapi? anafundishwa na na nani? Nani analipa gharama za elimu hiyo ? ..
Dont miss, I will tell You here here....
 
tunatizama namna ushoga unavyo fundishwa kwa watoto...


WATOTO WANAFUNDISHWA USHOGA BILA IDHINI YA WAZAZI WAO.

Silka ya kumlinda mtoto ni imara kiasi ambacho hata mzazi ikibidi kutoa uhai wake kwa ajili ya hilo, atafanya. Silka hiyo si tu kwenye uhai wa mtoto lakini pia mpaka kwenye tabia za mtoto. Wazazi makini wanalitazama hili la maadili ya watoto wao tangu wakiwa wachanga na kuweka msimamo ulio nyooka kwamba njia tunayo taka upite ni hii na siyo ile.


Wazazi wa aina hii wako makini sana na kitu gani watoto wao wanafundishwa, sababu wanafahamu shule si mahala pa kupata maarifa tu, lakini pia ni mahala ambapo tabia na njia ya maisha atakayo pita mtoto inatengenezwa.


Lakini kile ambacho watu wengi hawajakiona kuhusiana na suala zima la ushoga ni kwamba, walengwa wakubwa vita hivi siyo watu wazima, kwa uchache na kwenye mazingira maalum watu wazima wanalengwa kwenye mpambano huu. Lakini mlengwa nambari moja kwenye hili la ushoga ni watoto wetu. Watoto WA UMRI KUANZIA SIKU 1 MPAKA MIAKA 18-20.

Haki ya mtoto ya Privacy na kutafuta taarifa.

Mtu mzima mwenye umri kuanzia miaka 35 na kuendelea siyo tatizo sana kwenye hili, hana muda mrefu nguvu zitakuwa zimemuishia, na hana muda mrefu hii dunia atakuwa ameiacha. Lakini mtoto ambaye watampata kuanzia akiwa na umri mdogo huyu ni muhimu sana sababu huyu ndiyo atakaye chukua nafasi ya wazee wake, huyu akibadilishwa na vizazi vyake pia vitabadilika, huyu ndiye ndoto yao ya baadae. Hivyo nguvu inayo tumika kuwarubuni watoto hawa na wazazi wao kwenye hili ni kubwa zaidi kuliko nguvu inayo tumika kuwarubuni wazazi wenyewe.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Katika nchi za Ulaya na Marekani Ushoga upo kwenye silabasi zao kuanzia watoto wanao soma chekechea mpaka sekondari. Katika nchi zetu ambazo hatuna sauti zetu wenyewe bali kufuata tunayo ambiwa na mabwana wakubwa ni kwamba hivi sasa tunayo elimu ya ngono mashuleni. Hili si jambo jipya, hata hapa Tanzania elimu ya ngono inafundishwa kwenye mashule yetu kuanzia kwenye elimu ya msingi.

Tukumbuke hapo kabla hatukuwa na mitaala hii. Lakini tumeshinikiziwa na mabwana wakubwa mpaka tumeibeba, unafikiri itawawia vigumu mabwana wakubwa kutulazimisha kuwafundisha watoto wetu elimu ya ushoga?

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.


Nakumbuka kwenye miaka ya mwanzoni ya 90 wakati nipo shule ya msingi, walikuja wataalam hawa, na kutufundisha kivitendo kabisa elimu ya ngono, hiyo ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kuona uume wa bandia na kuambiwa kuwa kondomu zinamafuta.
Watu hawa wanapiga vita sana unyago na jando, elimu ambayo makabila mengi ya kiafrika yamekuwa yakiitumia kuwafundishia vijana wao masula ya makuzi, majukumu na nafasi zao katika jamii. Elimu ambayo makabila hayo hayaitoi hovyio hovyio bali kwa kila baada ya muda fulani kwa watu wa rika fulani.



Lakini wakati wanapiga vita unyago na jando kama njia mbaya zinazo wafundisha watoto na vijana wadogo mambo yasiyo faa kwenye jamii. Nchi zao na mashirika yao yakisaidiana na mashirika yasiyo ya kiserikali wamekuwa wakifundisha ngono mashuleni, wakifundisha ngono mashuleni bila hata kujali watoto hao wana umri gani, bila kujali mazingira. Waafrika tuna jando kwa wanaume, na unyago kwa wanawake, lakini elimu ya ngono mashuleni haitenganishi, sisi tulifundishwa tukiwa mchanganyiko na wakati huo kukiwa na sera ya kukaa dawati moja wasichana wawili mwanaume mmoja katikati. Unaweza kudhani ni uwozo wa namna gani unao endelea kwenye mashule yetu? Hiyo ni miaka ya mwanzoni ya 90! Unajua sasa wanafundishwa kwa kutumia njia gani?


WATOTO KWA LAZIMA WANAFUNDISHWA NA KUTENGENEZWA KUWA MASHOGA.

Sasa hivi watoto wetu wanapatiwa vitabu mahususi vinavyo elezea elimu ya ngono na namna ya kupiga punyeto! Upo baba/Mama au unalipa tu ada?

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

SHIRIKA la Kimataifa la Kutetea Uhai wa Binadamu, tawi la Tanzania (Prolife Tanzania), limesema elimu ya ngono inayofundishwa shuleni, inapandikiza mbegu za uasi dhidi ya uzazi na uzao.

Mkurugenzi wa shirika hilo Tanzania na Nchi za Afrika zinazungungumza lugha ya Kingereza, Emil Hagamu alisema elimu hiyo, inahimiza mauaji ya watoto wachanga kabla ya hawajazaliwa.

Aliyasema hayo mwishoni mwa wiki na kuhimiza kuwa, malezi bora kwa watoto kulingana na mafundisho ya dini ni njia ya kuwaepusha na vitendo vinavyochochea ngono na wala si vinginevyo.

“Katika elimu ya ngono watoto wanafundishwa viungo vya uzazi na jinsi vinavyofanya kazi. Wanafundishwa ‘vitendo vya wakubwa’ na jinsi mimba inavyotungwa,” alisema.

“Masomo hayo yanaamsha hisia za kingono miongoni mwa wanafunzi na kuwajengea udadisi wa kutaka kujaribu,” alisema Hagamu.

Alisema baada ya kuamsha hisia na vionjo vyao vya ngono, walimu wa somo la ngono wanawapatia wanafunzi zana za kufanyia ngono bila hofu.

“Wanawaeleza wanafunzi hao kuwa, wapo maadui wawili katika elimu yao ambao ni mimba na magonjwa ya zinaa.
“Ili kuepuka mimba na magonjwa ya zinaa, lazima watumie vidhibiti mimba. Kwa hiyo tangu utotoni wanafundishwa kuwa, mimba ni kitu cha hatari kinachotakiwa kuepukwa kwa gharama zozote.

“Kwa vile vidhibiti mimba vina viwango vya kushindwa, basi msichana anapopata mimba anashauriwa kwenda kutoa ili aendelee na masomo,” alisema.

Alitolea mfano mhudumu mmoja aliwarubuni wanafunzi wa sekondari fulani jijini Dar es Salaam kwa swali hili, “nani kati yenu yuko tayari kuwaaibisha wazazi wake kwa kukosa masomo kutokana na mimba?”

Alisema kuwa, kila msichana alijibu kwa sauti kubwa, “hakuna” basi yule mhudumu aliyetoka shirika fulani la nje lisilo la kiserikali akawaambia chagueni moja ya njia zilizopo, vidonge vya majira, sindano za depo provera, vipandikizi, vitanzi au kondomu.
Alifafanua kuwa, wanafunzi hao walichagua walichokitaka na baada ya kutumia, licha ya kupata madhara, walifeli pia masomo, na wengine walikosa uwezo wa kuzaa hadi sasa.

“Mbaya zaidi mhujumu yule aliwatengenezea wasichana hawa mazingira mazuri ya kuwa waasherati na kuwaweka katika hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ukiwemo ukimwi,” alisema.

Alitanabiasha kuwa, kuhusu madhara ya elimu ya ngono shuleni,wataalamu mbalimbali waliwahi kusema, “vitendo vya ngono miongoni mwa watoto vinaongezeka kwa kadiri elimu hiyo inavyofundishwa, kwa kadiri elimu hiyo inavyotolewa katika umri mdogo ndivyo watoto wanavyojiingiza katika vitendo vya ngono katika umri mdogo”.

Alisema vitendo holela vya ngono husababisha mimba katika umri mdogo na kuongeza miongoni mwa watoto wa shule ndivyo, vitendo vya utoaji mimba au utupaji wa watoto vinavyoongezeka.

Prolife inaamini kuwa, utaoji mimba ni mauaji kama yalivyo mauaji mtu mzima. (chanzo: Elimu Ya NGONO Mashuleni Ina Hamsha Hisia Za Ngono. ~ Munira Blog)

Kwahiyo utaona sasa si kwamba wanawafundisha elimu hii ya ngono lakini na zana za kufanikisha tendo hilo pia wanawapatia.

Wanasema unyago na jando vinachangia ndoa za utotoni, mimba, udhalilishwaji wa mwanamke, mtoto wa kike kukatizwa ndoto zake, lakini tumeona kwenye hiyo taarifa hapo juu kuwa elimu ya ngono mashuleni madhara yake ni maradufu zaidi ya yale wanayo sema yanapatikana kwenye unyago na jando.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Tafiti zinatuonesha kuwa ubongo wa binadamu umegawanyika katika sehemu kuu 4 katika ufanyaji wake kazi. Sehemu hizo ni frontal, temporal, occipital, na parietal lobes. Sehemu inayo itwa ‘frontal’ au Frontal Lobes ndiyo sehemu inayo husika na utambuzi, ufanyaji wa maamuzi, kutambua baya na zuri, kuweka mipango ya baadae, kufikiri kutaja kwa uchache. Sehemu hii ya ubongo inanza kukua na kukomaa taratibu na inafikia ukamilifu wake mtu anapofikia miaka 20 mpaka 25. Mtoto anapokuwa kwenye miaka 10+ sehemu hii bado haijakomaa kabisa, bado muhusika ni mtoto.


Hii inamaanisha kuwa kile ambacho watoto wetu wanacho fundishwa katika umri, hasa yale ambayo yanawataka wafanya maamuzi wenyewe, kama elimu ya ngono, ni jambo baya na la hatari sana dhidi yao, sababu unawafundisha kufanya maamuzi ya kufanya au kutifanya ngono, wakati uwezo wao wa kufanya maamuzi haujakomaa kabisa na haupo kabisa kwa wengine, lakini mbaya zaidi na zana za kufanyia ngono unawapatia. Kwa maneno mengine watoto wetu hawafundishwi kufanya ngono, bali wanashurutishwa wakafanye ngono sababu katika umri huo wao bado hawajawa na hiari ya kuchagua kipi kibaya au kipi kizuri.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Wafanyaji wa jambo hili wanajua kabisa hicho na wanatumia nafasi hii kuharibu vizazi vyetu vijavyo, sababu mwisho wa siku wanawapa uhuru wa kuchagua, uwezo ambao hawana, nakuwarubuni wawe makini na mimba na magonjwa ya zinaa.



Tukirudi kwenye mada yetu ya ushoga na watoto, hivi sasa wanataka si kwamba watoto wafundishwe elimu ya ngono tu, lakini wafundishwa kuwa kufanya tendo hilo na mtu wa jinsia moja na yako ni sawa sawa kabisa. Kwa hiyo bado tupo palepale, mpaka miaka 25 ndiyo uwezo wa kufanya maamuzi sahihi au si sahihi ndiyo unakuwa umejengeka, mtoto huyu kumfundisha kufanya ngono, lakini zaidi kufanya uchafu huo na mtu wa jinsia sawa na yeke wakati ambao hajui kibaya na kizuri kwa mapana yake, hiyo ndiyo haki yake au huko ndiko kumpokonya haki yake.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Lakini shetani huyu nyuma ya mambo yote haya anafahamu fika kuwa ‘elimu’ si mafunzo tu, lakini elimu kwa mtoto ni utaratibu wa kuyabadilisha maisha yake, kimtazamo, kivitendo, kitabia na hisia pia. Anafahamu kuwa akiachiwa aendelee na utaratibu huu kama anavyo fanya, mwisho wa siku huyo mtoto anakuwa ni mtumwa mzuri wa shetani. Inamuhakikishia kuwa vizazi vitakavyo tukana na watoto wa aina hii ni jeshi lake zuri kabisa.

Je mzazi unalipa ada mtoto wako aje kuwa mwanajeshi wa adui yako? Think.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Wale wanao tetea elimu ya ngono mashuleni, na elimu ya ushoga mashuleni, wanafahamu fika lengo lao hili likifanikiwa, watoto hawa wanakuwa ni wa kwao. Elimu hii haina malengo ya kufundisha haki sawa na kuvumiliana baina ya jamii ya mashoga na wasiyo mashoga, haina lengo la kuzia mimba za utotoni, ndiyo kwanza zinazidi, haina lengo la kuzioa maambukizi ya UKIMWI, na magonjwa ya zinaa, ndiyo kwanza yanazidi, haina lengo la kuzuia ukatiliwa kijinsia kwa watoto wa jinsia zote ndiyo kwanza unazidi, maneno yoye hayo matamu waliyo weka ni kwa ajili ya kuwarubuni wazazi na jamii kwa ujumla.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Walimu wasiyo waerevu na wasimamizi wa mashule wasiyo jua chochote au walio amua kwa makusudi kufumbia macho uozo huu, na watu wabaya nyuma ya mpango huu wanajua kabisa mwisho wa siku kinacho tokea ni kinyume cha hayo yote wanayo wasema.

Kinachotokea ni kuongezeka kwa mimba za utotoni, kinacho tokea ni watoto wa kike kukatizwa ndoto zao na kuishia kuwa machangudoa, kinacho tokea ni ukatiliwa kijinsia kwa watoto wa jinsia zote mbili, kinacho tokea ni utoaji wa mimba ambao hauna tofauti na mauwaji ya kinyama.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Starehe ufanye wewe halafu uje kudhulumu uhai wa binadamu mwingine, kwa kuhofia, utamlisha nini, au utamvisha nini, au atasoma wapi. Wewe ulizaliwa na vyote hivyo? Wewe ndiye unaye gawa riziki siku hizi? Mbona unajipa kazi zisizo zako?


Mtu wa kawaida ambaye anaamini kazaliwa afanye kazi ili aishi, yaani yeye ni kuamaka asubuhi-kazini-nyumbani, hamna jingine. Anafanya kazi ili alipe kodi, ada, na kila aina ya bili inayo muhusu. Mtu huyu ni vigumu kuelewa kwamba pesa yake anayo itoa, nchi yake anayo itumikia, inaweza kumsaliti kiasi cha kutumia kodi na pesa zake kuwarubuni watoto wake kufanya yale ambayo anajua kwa akili ya kawaida, anajua kwa mtazamo wa kijamii, anajua kwa mtazamo wa kidini hayafai.

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Mtu huyu hawezi kuamini, kwanza ni vigumu kumkuta anasoma aina hii ya maandishi. Lakini maneno ya mwisho kabisa na yaliyopigiwa mstari mnene chini yake ndivyo yanavyo sema hivyo, mtoto wako ni bomu linalotengenezwa kwa gharama yako mwenyewe kwa ajili ya kukulipua wewe na uzao wako utakao fuata.

Msimamizi wa sera hizi anaandika kutoa mwongozo wa namna ya kushinda vita vyao hivi dhidi yetu sisi. Kutoka kwenye Official Journal of the American Humanist Association bwana John Dunphy mwaka 1983 aliandika hivi;

“Nimejiridhisha kwamba vita vya baadae dhidi ya umma lazima vipiganwe kwenye madarasa ya shule za umma vikiongozwa na walimu kama wahubiri wa imani hiyo mpya … Madarasa yatakuwa ndiyo uwanja wa mpambano baina ya mfumo wa zamani na mfumo mpya …”

VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.

Mwamapinduzi wa ushoga, Mark Swift aliandika Februari 15, 1987 hivi;

“Tutawafanyia usodoma watoto wenu, tutawalaghai na kuwalainisha kwenye mashule yenu, kwenye mabweni yenu, kwenye vyumba vya mazoezi, kwenye makabati, kwenye vikundi vya vijana, watoto wenu watakuwa watumwa wetu na kufanya matakwa yetu. Watatulilia, kututamani na kutukubali. Sheria zote zinazo pinga ushoga zitafutwa, (nchi baada ya nchi zimeanza kufuta sheria hizo) na kinyume chake sheria zitapitishwa ambazo zitaruhusu ushoga (nchi baada ya nchi zimeanza kukubali sheria ya ushoga), waandishi wetu na wasanii wetu watafanya ushoga kuwa ni fasheni, (kazi mbalimbali za sanaa na wasanii zinafanya propaganda za ushoga kama tutakavyo kwenye post itakayo fuata), tutanyanyuka na jeshi kubwa kupambana na wewe (jeshi hilo linaandaliwa kwenye mashule yetu kupitia elimu ya ngono kwa kutumia ada na kodi zetu), familia (mke mume watoto) zitafutwa (hili linafanyika kupitia haki za watoto na haki za wanawake, mungu akipenda nitawaletea post yenye maudhui hayo.), vijana wazuri watazalishwa kupitia utaatibu wa kimaabara (hili ni sehemu ya jeshi lao, na wameshaanza kutengenezwa), … makanisa yote (na nyumba zingine za ibada) ambazo zinapinga ushoga zitafungwa (viongozi wa kidini kadhaa wameshafunguliwa mashtaka kwa kuongea lugha kali dhidi ya mashoga na vitendo vyao). Waungu wetu wa kipekee ni vijana wazuri wa kiume. Wanaume wote ambao wabaki na ujinga wa kuwapinga mashoga watapelekwa kwenye mahakama za mashoga na watapotezwa (hii ndiyo maana ya haki za mashoga, haki za binadam, na mambo ya haki sawa, waulize Malawi watakuambia maana yake) …”

UNADHANI MTOTO WAKO YUPO SALAMA KWENYE HILI? UNAFANYA NINI KUHAKIKISHA USALAMA HUO?

Upo?
Ni kwa kiasi gani yaliyo andikwa hapo yametokea?
Nafasi yako ni ipi dhidi ya hayo?
Suluhisho au sehemu ya tatizo?
……….
Kumekuwa na kesi nyingi za mashoga kuwalawiti watoto wadogo wa kiume na vijana ambao bado hawajabalehe. Ni kima Mashoga hao wanawaandaa watoto wadogo wa kiume kuwa mashoga wa baadae.


MTOTO WAKO ANATIZAMA NINI KWENYE CHANELI UNAZOLIPIA KWA PESA YAKO?

Shimo la uovu daima ni chini linakwenda, baada ya haki za mashoga nini kitafuata, haki za mashoga kufanya ngono na watoto wadogo wa kiume na kike? Haki za kufanya ngono na wanyama? Haki za kufanya ngono na maiti? Hawatoishia hapo juu.
Suluhisho ni moja tu.


VITABU VYA MITAALA YA SOMO LA USHOGA KWA WATOTO.



KUONDOA UOVU HUU KWA KILA NJIA INAYO WEZEKEKANA, KUUNDOA WOTE NA KWA PAMOJA.

MTOTO WAKO ANATIZAMA NINI KWENYE CHANELI UNAZOLIPIA KWA PESA YAKO?
 
DOLA YA KISHETANI NA USHOGA Ep. 5 Season finale



QUEEN LATIFAH! MADONA NA WASANII WENGINE WAKISHIRIKI KUFUNGISHA NDOA YA MASHOGA KWENYE 'GRAMMY AWARD.


Ukitaka kufanya uchafu wako hadharani na usipingwe na yeyote hata kwa kuoneshea kidole; ni kuirubuni jamii kiasi ione uchafu huo ni jambo la awaida, na siyo ‘big deal.’


Ukiufikisha umma hapo, kiasi cha kuona uchafu huo ni sehemu tu ya maisha na siyo kitu cha ajabu, basi utaweza uufanya uchafu wako mchana kweupe wala hakuna atakaye shughulika na wewe.

IKIWA UMESAHAU NI KWAMBA TULIPO FIKA NI ZAIDI YA HAPA ...

Yes, hicho ndicho kinacho fanywa na kazi za wasanii mbalimbali na kwa nafasi zao na kwenye maisha yao, uone mwanamke kujiweka kama mwanaume na kinyume chake ni ishu ndogo sana.
Na hivyo ushoga siyo deal, ni maamuzi ya mtu.

Ni sawa kabisa kusema ni maamuzi ya mtu, lakini si sawa maamuzi hayo kuyafanya yawe ni maamuzi ya kila mtu. Hicho ndicho wanacho fanya na ndicho ninacho kipinga katika mfululuzo wa post hizi.





Mfuasi wa dini ya kishetani, na aliyekuwa mmoja wa wafufuaji wa ‘NEW AGE MOVEMENT’ Alice Bailey, katika moja ya kazi zake, zinazo lenga kuuvnja maadili na kueneza maovu na machafu kwenye jamii alisema hivi.

“IVURUGE SANAA, IFANYE WENDAWAZIMU".
Kivipi?
Ruhusu aina nyingine za kazi ya sanaa ambazo zitavuruga na uharibu mitazamo ya watu, sababu sanaa ni lugha ya roho, lugha ya kile kilicho ndani, ambacho kinawekwa bayana kwa michoro, muziki, maagizo n.k. Tizama filamu za leo, sikiliza mashairi ya muziki wa sasa, tizama kazi za michoro, kote huko utaona ni uwendawazimu.




Lakini uwendawazimu uko wazi kwa kila mtu kuona, kusikia na kuigiza, na hakuna nayesema chochote; sababu uchafu umeshafanywa kuwa ni sehemu ya maisha yetu, na sisi hatuoni tofauti.
Akaendelea kusema;

“TUMIA VYOMBO VYA HABARI NA MAWASILIANO KUTANGAZA NA KUBADILISHA MITAZAMO YA WATU”
Mfumo unaotumika kusambaza na kusafirisha taarifa ndiyo mfumo mkuu unao tumika kubadilisha mitazamo ya watu; redio, luninga, magazeti, filamu, mitandao ya intaneti. Unaweza kuona ni kwakiaisi gani jamii ya leo imebadilisha na mfumo huu wa kukusanya na kusambaza taarifa. Ni nani anaye miliki vyombo vya habari?
Tizama posti hii kwa kina


Matangazo ya picha za uchi ni kitu cha kawaida, masuala ya ngono nje ya ndoa ni kitu cha kawaida mno kwenye kazi yoyote ya sanaa unayoweza kuifikiria, vitendo vya ushoga katika filamu za kileo ni kachumbari katika kazi za sanaa, wanaionesha na wanazo njia zaidi ya milioni moja ya kukuonesha masuala ya kishoga kwenye filamu bila wewe kufahamu. Na kumbuka filamu hizo zinaonesha mchana, asubuhi, usiku na watoto wanayo nafasi kubwa ya kutizama machafu hayo.


Anaendelea kusema;

“UFANYE USHOGA NI MOJA KATI YA AINA YA MAISHA MTU ANAWEZA KUCHAGUA NA KUISHI”

YOUR FAVORITE MOVIE STAR IS A GAY. AMEKIRI HADHARANI KUWA ANASHIRIKI SODOMA NA GOMORA NA MWANAUME MWENZAKE. AMENYANYULIWA JUU KUPITIA KAZI MAARUFU YA PRISON BREAK, HAKUFAHAMIKA KWA WALIMWENGU KABLA YA KAZI HII. ALIPATA UMAARUFU MKUBWA NA KILA MTU ALITAMANI KUWA SCOLFIELD, JINA ALILOTUMIA KWENYE TAMTHILIA HIYO. HALAFU GHAFLA ANAJITOKEZA HADHARANI NA KUSEMA YEYE NI SHOGA, MAMILIONI WA MASHABIKI WAKE WATAENDELEA KUSIMAMA NAYE? WATAENDELEA KUTIZAM PRISON BREAK? MSTARI UNACHORWA, UNAPOENDELEA KUSIMAMA NAYE INAAMAANISHA SEHEMU FLANI YA USHOGA UNAKUBALIKA, UNAMAANISHA ULE UGUMU NA MSIMAMO ULIO KUWA NAO DHIDI YA USHOGA NA MASHOGA UMEANZA KULAANIKA. LENGO NI WEWE UKUBALI USHOGA NA MASHOGA NI OK, LAKINI UTAKUBALI HIVYO TARATIBU BILA KUJUA UNAFANYA HIVYO. KILLING THEM SOFTLY NDICHO KINACHO TOKEA.

Ki vipi? Watu wa ruhusiwe kufanya ngono na kwa namna na jinsi yeyote ile wanayo taka. Wruhusiwe kisheria, serikali iruhusu na taasisi za kidini zitoe baraka kwenye hilo. Hivi sasa kuna nchi ambazo si ruhusa kuzungumza dhidi ya ushoga au kusoma maandishi matakatifu yanayo kataza ushoga. Kufanya hivyo ni kinyume cha sheria na unaweza kwenda jela. Tizama Posti hii
Nchi zetu ‘msikini’ hazipokei misaada kutoka nchi wahisani mpaka zikubali wanachi wake wapewe haki na uhuru wa kushiriki usodoma na ugomora. Na sasa yapo makanisa yanayo fungisha ndoa za jinsia moja.



MVULANA KWENYE FILAMU HII NI MAARUFU SANA KWENYE FILAMU ZA WATOTO NA KICHAWI, JINA LAKE KWENYE KAZI HIZO NI HERRY POTTER. ANAO MASHABIKI WENGI KOTE DUNIANI, HASA WATOTO NA WAPENZI WA FILAMU ZA KICHAWI, NA HAPA MASHABIKI WANAWEKWA NJIA PANDA, JE WATAENDELEA KUMUUNGA MKONO KWENYE HILI? TARATIBU AKILI ZA WATU ZINATENGENEZWA KUHUSISHA USHOGA NA WATU MAARUFU, USHOGA NA WATU WENYE 'MAFANIKIO' NA UNAWEKWA HADHARANI TARATIBU KUPITIA LUNINGA, TARATIBU WATU WANAONA NI JAMBO LA KAWAIDA SANA.

Wanamuziki maarufu, wacheza sinema maarufu, wanamichezo mbalimbali wenye majina makubwa, viongozi wa kidini na kisiasa, kwa nyakati tofauti wamekuwa wakijitokeza ima kuunga mkono ushoga kukiri kuwa wao ni mashoga. Lengo ni mtu wa kawaida akisikia shoga, ushoga, sodoma na gomoro viwe ni viti vidogo mno ambavyo havina hata haja ya kuzungumzia.

Hivi hatujafika hapo?

Nafasi yako ni ipi katika kufika au kutokufika?




WAMEPEWA HAKI YA KUOWANA NA HAKI YA KUPORA WATOTO, NA KUWAFUNDISHA WATOTO HAO CHOCHOTE WANACHO TAKA IKIWEMO HIZO HAKI ZA MASHOGA, KWA NJIA NYINGINE WANAANDAA KIZAZI KINGINE CHA MASHOGA, HAWAWEZI KUZAA, LAKINI SHERIA HII INAWAPA HAKI YA KUWAFUNDISHA USHOGA WATOTO WASIYO WAO.

Mtandao mpana wa filamu duniani, Hollywood kwenye kazi zake mbalimbali, moja kwa moja au kupitia kwenye mgongo wa kitu kingine wamekuwa wakiunga mkono ushoga na maaudhi yake yakawekwa katika filamu mbalimbali, zenye majina makubwa na wachezaji wenye sifa kubwa katika tasnia hiyo. Kutoka kwenye katuni za watoto mpaka kwenye filamu za kutisha na kugofya, kote huko hawakuacha kuweka maudhui ya Sodoma na Gomora.

HAPA NI KWENYE TAMTHILIA YA GRAYS ANOTOMY

Filamu kama Brokeback Mountain ambayo mwanzo mwisho maudhui yake ni usodama na gomora tupu, ilipewa hadhi ya filam bora ya mwaka. Tamthilia kama Friends, Grays Anotomy, An American Family, Ellen, Glee, Modern Family, The perfect family, X-Men, kutaja kwa uchache, zipo filamu nyingi hizo nilizo taja zinaonesha washiriki ambao wamecheza kama mashoga na wakati mwingine ni mashoga kama kwenye Ellen, lakini zipo nyingine nyingi ambazo zimewekwa vionjo vya kishoga, eidha kwenye maneno, vitendo, mavazi, mazingira n.k ambavyo ni vigumu kwa mtu wa kawaida kuving’amu.

MCHEZA FILAM MAARUFU KWENYE SERIES YA 'HOW I MET YOU MOTHER' AKIWA JUKWAANI NA MWANAUME MWENZAKE AMBAYE WANASHIRIKI NAYE USODOMA NA UGOMORA, NA HAPA WANAUONESHA ULIMWENGU, KUWA NI SAWA KUWA SHOGA, NI SAWA MWANAUME KUINGILIWA NA MWANUME MWENZAKE, NI SAWA KUFANYA USODOMA NA UGOMORA, NA HAKUNA SHIDA YEYOTE KUTANGAZA HILO KWA ULIMWENGU NA KWA MABI WAKO. KUPITA WATU HAWA NA VYOMBO VYA HABARI NA BURUDANI MTU WA KAWAIDA ANAAMBIWA KUWA USHOGA NI KITU KIZURI NA MAARUFU.

Hizo ndizo zinazotengeneza njia za wewe kuja kutizama filamu zinazo onesha wanaume wawili au wanawake wawili wakibusiana na wewe usione tabu yeyote, na wakienda zaidi ya hapo utaona ni sawa tu, lakini kumbe kabla hawajaweka filamu hiyo walishaanza kukutengeneza akili yako kidogo kidogo kukubaliana na haya unayo yaona sasa.




Ukija kwa watoto napo hapajaachwa salama hata kidogo. Maaudhui ya ushoga yamejaa katika Kazi nyingi za watoto kutoka tamthilia mpaka sinema. Hizi ni kwa uchache, Family Guy, Freozen, Boxtrolls, ParaNorman, Coraline, How to train Your Dragon 2, SpongeBob Squarepants, Puss in Boot, kutaja kwa uchache ni nyingi sana.




KWENYE MTANDAO MAARUFU WA KATUNI, CARTOON NETWORK' NA LUNINGA AINA HIZI ZA FILAMU ZINAONESHWA KWA WATOTO WAKO. WAMESHINDWA KUKUPORA WATOTO WAKO KUPITIA SHERIA YA ADAPTION, WANAMPORA KUPITIA LUNINGA YAKO MWENYEWE. WATCH OUT NA KUWA MAKINI NA KILE ANACHO TIZAMA MTOTO WAKO.

NJIA AMBAZO WASANII WANATUMIKA KUTANGAZA NA KUSHAWISHI USHOGA KWA WENGINE.

1. MAVAZI.

AINA MPYA YA MAVAZI KWA WANAUME, HAO WALIO VAA MAVAZI HAYO NI WANAUEME.

Wabunifu wa mavazi, industry nyingine hiyo ambayo inayo namba kubwa ya mashoga pia, wamekuwa wakibadilisha mweelekeo wa mavazi, hasa mavazi na kuyatikia nakshi za jinsia tofauti na inayo lengwa na mavazi hayo. Kutoka kofia mpaka kiatu.

WANAUME MAARUFU WAKIWA NA SKETI NA VIMINI.

Yote hayo ukiuliza na kujiuliza utaambiwa ni ‘fashion’ tu. Lakini ambao hatujashikiwa akili tunajua kuna namna zaidi ya ‘fashion’.




LIL WINE AMEVAA SKIN JEANS, SAWA KABISA NA SKIN ALIYOVAA MWANA DADA PEMBENI. JE LL WINE HAJUI HIYO NI NGUO YA KIKE?




Taratibu watu wengine wanaona ni sawa hivyo, wanaume wanaanza kuvalishwa sketi. Mtangazaji wa kituo cha Luninga hapa nyumbani alitokeza kavali sketi, ni mtangazaji wa kiume, na sketi inaitwa sketi ya kiume. Ukistaajbu ya Musa utaona ya Firauni, kipindi anacho endesha kinamvuto zaidi kwa vijana wa rika la ‘teeneger’ unaweza kuona madhara yake.

MSANII HUYU NI MAARUFU HAPA NCHINI. VIATU ALIVYO VAA VILIZUA GUMZO KWENYE MITANDAO, REDIO NA LUNINGA. AKAJITETEA ALIVIKUTA KWENYE DUKA LA VITU VYA KIUME. VIATU NI VYA KIKE HAINA MJADALA, LAKINI VIMEKUWA MAARUFU SASA HIVI MPAKA KWA WANAUME!! UMEONA SURUALI ALIYO VAA, INATOFAUTI NA SKIN JEANS YA LL'L WINE? LAKINI ZAIDI TIZAMA RANGI YA SKIN HIYO. PINK, SOTE TUNAJUA RANGI YA PINK NI RANGI YA KIKE, LAKINI NDIYO RANGI AMBAYO MASHOGA WANAITUMIA KAMA RANGI YAO KUJITOFAUTISHA NA WANAUME WAKAWAIDA WANAO TUMIA RANGI YA BLUE. NA SURUALI HIYO ILIKUWA KWENYE DUKA LA VITU VYA KIUME?

UKISHANGAA MWANAUME KAVAA SKIN YA PINK NA VIATU VYA KIKE, MWINGINE HAPA HAPA NYUMBENI KAJITOKEZA KWENYE TV NA SKETI ALIYOIITA SKETI YA KIUME. UPO? UNAONA NI SAWA HIVYO? AU UTAITA FASHION? FASHION ISYO NA MIPAKA.


SKETI ZA KIUME, SIONI TOFAUTI KATI YA KE NA ZILE ZA KIKE, ISPOKUWA HIZI ZIMEVALIWA NA WANAUME, MASUPER STAR WA LEO, KWENYE MAJUKWAA KILA MTU AONE. KUNA NINI HAPA?


KABLA KANYE WEST HAJAVAA SKETI KWENYE JUKWAA, ALITOKA NA WIMBO WA 'JESUS WALKS' WIMBO HUU ULIPATA UMAARUFU MPAKA KWENYE MAKANISA YA MAREKANI ULICHEZWA NA KUIMBWA, HALAFU AKIWA NA SAPOTI HIYO KUBWA KUTOKA KWENYE NYUMBA ZA IBADA, AKAJA NA SKETI JUKWAANI, KILA MTU AONE. WATU WANAWEKWA NJIA PANDA, MAADUI ZETU WANAIPENDA SANA MBINU HII, JE MAKANISA NA WAUMINI WATAENDELEA KUMUUNGA MKONO KAMA WALIVYO FANYA KWENYE JESUS WALKS? HIVYO UTAONA WIMBO ULE ULIKUWA NI MTEGO, NA HAPO KWENYE SKETI NDIPO WANAPOTAKIWA WAINGIE.
 

SUPER STAR WA FILAM YA KARATE KID, NA MTOTO WA WACHEZA FILAM MAARUFU JADA NA WILL SMITH, AMEKUWA AKIJITOKEZA HADHARANI AKIWA AMEVAA SKETI NA MAVAZI MENGINE YENYE NAKSHI ZA KIKE.



SKIN KWA WANAUME, BLAUZI KWA WANAUME, VITOP KWA WANAUME, SKETI KWA WANAUME, POCHI NA VIATU KWA WANAUME, UPO?





Nikiwa Moshi stendi ya Mabasi, nikakutana na kijana wa kiume, kavaa suruali ya kubana, halafu ni ‘pedo’, ilikuwa na kila sifa ya kuvalishwa mwanadada, lakini huyu ni kijana wa kiume kwenye stendi ya mabasi na hana wasiwasi.

2. MITINDO YA NYWELE.
Kusuka kwa wanume sasa hivi limekuwa ni jambo la kawaida kabisa kabisa, na sasa hivi wanaume wanasuka mitindo mbalimbali ya nywele. Ukiuliza utaambiwa ‘fashion’. Lakini tunajua kabisa kabisa kuwa mwanaume hasuki.




Sasa hivi anasuka, anatoga masikio na anavaa sketi, sijui unaelewa hii picha inapo elekea? Na mwisho anataka haki ya kuolewa na kuwekwa ndani.


Lakini haikuanza kwa ghafla, ilianza taratibu, taratibu na sasa hivi si jambo geni tena, watu hawawashangai tena kama ilivyokuwa awali.





Mwaka 1998 Ronaldo De Lima, alipokuja na staili yake ya kunyoa, kutokana na umaarufu wake staili ile ilichukuliwa na kila mtu, sijui kama yeye ndiye wa kwanza ‘kuivumbua’ au aliikopi mahala.





Staili ile imekuwa na umaarafu tangu hapo mpaka sasa, lakini ghafla staili ile ya nywele ikabebwa na mashoga, je Ronadlo aliichukua kutoka kwao au wao ndiyo walimkopi Ronaldo, sifahamu. Ninacho kijua ni kuwa staile ile ya nywele imekuwa kama moja ya nembo za mashoga, wakike na kiume, weusi kwa weupe, na sisi wazee wa kukopi tumeikopi kama ilivyo na tunaruka nayo mitaani kwa kujiamini. Lakini ni ‘Hair Style’ ya mashoga.

HUYU KAJITANGAZA KUWA NI SHOGA, ONA STAILI YAKE YA NYWELE






KAMA KAWAIDA HATUCHELEWI KU-COPY NA KU-PASTE BILA HATA KUTAKA KUJUA MAANA YAKE NI NINI? VIJANA WENGI HAPA NYUMBANI UTAWAONA WANAKIMBIZANA NA STAILI HII KAMA UNAVYO MUONA MSANII HUYU, WAKITAKA KWENDA NA FASHION, LAKINI SI KILA FASHION NI FASHION, ZINGINE NI AJENDA ZA WATU ZINAFANYIWA KAZI, USIBEBE KILA KILE UNACHO KIONA KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO, KIFANYIE UCHUNGUZI KWANZA, WAKIKIFUATA WANAO JUA MAANA YA HIYO 'HAIR CUT' WAKIDHANI WEWE NI MWENZAO UTARUSHA NGUMI?



3. KAZI ZAO ZA SANAA.



JINA KUBWA KWENYE FILAM DUNIANI, LAKINI KWENYE MUVI HIYO HAPO CHINI WALIMVALISHA HIVI



Kama nilivyo eleza awali kazi nyingi za wasanii mbalimbali zimekuwa zikitiwa vionjo vya ushoga kila leo. Si kwenye muziki, wala filamu. Wanawake wamevalishwa kiume na wanaume wamevalishwa kike, ndiyo kazi inauzika.



JINA JINGINE KUBWA KABISA HOOLLYWOOD NA DUNIANI, WILL SMITH, AMBAYE MTOTO WAKE WA KIUME SASA ANAKIMBIZANA NA KUVAA NGUO NA VIPODOZI VYA KIKE NA WILL SMITH KWENYE FILAM HIYO HAPO ALIYOCHEZA WANAUME WAWILI WANAFANYA USODOMA NA GOMORA.



Dave Chappele ndiye msanii pekee ambaye mpaka sasa inafahamika kusema; uozo huu basi, inatosha, enough is enough, akawapa mgongo na kuondoka zake. Aliuvunja mkataba ambao angelipwa dola za marekani milioni hamsini!!!

Alikataa kuvaa mavazi ya kike, Alikataa, akaja muandishi wa script, meneja, director na kila mwenye nafasi kumtaka vae hivyo, alikataa kata kata.

Lakini wasanii wa kiume kuvalishwa mavazi ya kike limekuwa ni jambo la kawaida mno kwenye tasnia ya filamu na muziki. Lakini ukitazama mahojiano ya Chappele na mchekeshaji na muigizaji mwingine anayefahamika kama Katt Williams, ambaye na yeye amefanya kama alivyo fanya Chappele utaona si bure, wasanii wa kiume kuvalishwa mavazi ya kike.



JINA JINGINE KUBWA NDANI YA HOLLYWOOD, LAKINI TIZAMA KAZI ZAKE HAPO CHINI.
ZOTE NI MWANAUME ALIYEVALIA MWANAMKE.



JINA JINGINE KUBWA, TIZAMA BAADHI YA KAZI ZAKE HAPO CHINI.


ANOTHER BIG NAME, LAKINI TIZAMA KAZI ZAKE ZINGINE HAPO CHINI
 
WHY A MAN LIKE HIM, WOULD ACCEPT TO DRESS LIKE A WOMAN, TIZAMA HAPO CHINI.

WHY?

YES, JAMIE FOXX, TIZAMA CHINI.



TIZAMA HAPO CHINI


NI NYINGI NA NI WENGI WENYE MAJINA MAKUBWA KWENYE FILAM WANFANYA HIVYO. SIWEZI KUZIMALIZA NA SIPENDI KUKUCHOSHA, FANYA UTAFITI WAKO MWENYEWE NA UTAONA KITU HICHO, UKITAZAMA WENGI NI EIDHA NI MTU MWEUSI AU MTU KUTOKA LATINI AMERIKA, NA HICHO NDICHO KILICHO MFANYA CHAPPELLE AZIPE MGONGO DOLA MILIONI HAMSINI, ALISEMA KWANINI KILA MWANAUME MWEUSI SEHEM FLANI KWENYE KAZI YAKE YA UIGIZAJI ATAAMBIWA AVAE NGUO ZA KIKE, KWANINI? UTAONA KUWA USHOGA KWA WATU WEUPE UMEKUWA NI KITU CHA KAWAIDA, NA IDADI YAO YA KUZALIANA SIYO KUBWA UKILINGANISHA NA WATU WA MATAIFA MENGINE, HII NI KUTOKANA NA ELIMU YA UZAZI WA MPANGO KUWASAMBARATISHA MAPEMA PAMOJA NA MAMBO YA HAKI ZA WANAWAKE NA WATOTO, HIVYO KWAO KUZAA SIYO ISHU KUBWA SANA, LAKINI WATU WEUSI NA MATAIFA MENGINE, WAKO VIZURI, PAMOJA NA UMASIKINI NA NJAA LAKINI IDADI YAO YA WATU INAKUWA KILA UCHAO, SERA ZA UTOAJI MIMBA, UZAZI WA MPANGO ZINAHITAJI USAIDIZI KUFIKIA MALENGO, USHOGA UKAONEKANA UNAWEZA KUSAIDIA, SASA UNAINGIZA KWA KASI KUPITIA WASANII WETU WENYEWE, WATU WEUSI, NA VIONGOZI WETU WA NCHI WANALAZIMISHWA KUPITISHA NA KUKUBALINA NA SERA HIZO AMA SIVYO TUTANYIMWA MISAADA. HIVYO PAMOJA NA KWAMBA USHOGA UNACHANGIA KUONGEZEKA KWA KILE KINACHO FAHAMIKA KAMA NEGATIVE ENERGY KWENYE UWANDA WETU HUU WA 3D AMBAYO NI HATUA MUHIMU KATIKA KUMTENGENISHA BINADAM NA MUUMBA WAKE, BINADAM NA MAZINGIRA YAKE ASILIA NA KUWEKA MAZINGIRA MAZURI YA MPINGA KRISTO KUTOKEA, LAKINI PIA INASAIDIA KUPUNGUZA IDADI YA WATU, SABABU MASHOGA HAWATO ZAA, ILA WATAPORA WATOTO WA WATU WENGINE NA KUWAFUNDISHA USHOGA!!!!!!!!!!!


Ajenda ni ile ile, akili yako inatakiwa ukubali ni sawa mwanamke kuwa kama mwanaume, na ni sawa mwanaume kuwa kama mwanamke, iwe ni kimavazi, kuonge kiutendaji au kivyovyote vile, ni sawa, akili yako lazima ifikishwe hapo kwanza ili baadae ukiona mwanaume anafanya usodoma na ugomora uone kuwa ni sawa hivyo.

Kama ambavyo unaona ni sawa mwanaume kutoga masikio leo, ni sawa kuvaa sketi, ni sawa kusuka, basi hata kulawitiwa pia ni sawa.

IS HE OR SHE?

Ili ufike hapo kazi za sanaa na wasanii wenyewe lazima zitumike kulaanisha ugumu wako wa ‘kuelewa’ na kubadilisha mtazamo wako kama tunavyo ona sasa.

4. MAISHA BINAFSI YA WASANII
Ni kitu gani mtu anakifanya ndani kwake au kokote akiwa haonekani na yeyote, hayo ni maisha binfsi ya muhusika, na hata kidogo hayahitaji uyafuatilie, kama wanavyo sema wenyewe, ‘Everyone has got h/her own skeloton’. Dhambi unayo ifanya chumbani kwako mwenyewe, ni yako wewe na Mungu wako.

Lakini dhambi hii inayofanywa usiku au mchana pasina watu kujua, halafu kwa makusudi mazima inaletwa hadharani kila mtu aiyone, hii inakuwa ni shida, na madhara ya dhambi hii kupitia kwa jamii lazima muhusika atawajibishwa mbele ya Mola wake. Sababu amechochea wengine kufanya hivyo.


BIRDMAN ALIPOHOJIWA JUU YA KUMPIGA BUSU LA MDOMONI LL'L WYNE, HAKUJUTIA, HAKUSEMA NI BAHATI MBAYA, BALI ALISEMA HUO NDIYO MCHEZO WAO KWA SASA (THIS IS HOW WE ROLE NOW) KISHA AKASEMA ATARUDIA TENA, NA TENA.

PUFF NA RICK, JE PICHA HII INASEMA MANENO AMBAYO HATUYATAMBUI? TIZAMA PICHA INAYO FUATA.

JE INAYO TOFAUTI NA ILE YA BIRD NA LL'L WINE?


MCHEZO NAO UFANYA DRAKE NI MCHEZO UNAO WEZWA KUFANYWA NA MWANAUME YEYOTE WA KAWAIDA?


ALIKUWA MWANAMICHEZO WA KIUME MAREKANI

NA MEDALI KADHAA ALISHINDA.

MKE PIA ALIKUWA NAYE.

WATOTO WA KUTOSHA ALIPATA.

MAAJABU YA KATOKEA, AKAANZA KUJINASIBISHA NA JINSIA YA KIKE NA KUANAZA KUJIONA YEYE NI MWANAMKE.

AKAFANYA UPASUAJI NA KUBADILISHA USO NA SEHEMU ZINGINE ZA MWILI WAKE AONEKANE YEYE NI MWANAMKE NA MAVAZI AKABADILISHA.

ANAJITAMBUA KWAMBA YEYE NI MWANAMKE SIYO MWANAUME TENA.

MTIZAME HAPO, SI MWANUME TENA. USHOGA UMEFANYWA NI LIFE STYLE. ALISHAOWA, KAPATA WATOTO WANNE, NA MIAKA MINGI BAADAE AKAGUNDUA KWAMBA ANACHO 'KINASABA' CHA USHOGA. JAMANI HICHO NI KINASABA AU MAAMUZI YAKE MWENYEWE? NA UTAONA MASHOGA WENGI WALIANZA MAISHA YAO KAMA WANAUME WA KAWAIDA NA WAKAFANYA NGONO NA WANAWAKE NA HATA KUPATA WATOTO KAMA TUNAVYO MUONA HUYU, HALAFU BAADAE WANATULETEA HADITHI ZA DARWIN. HUYU ANAWEZA AKAMUOA MWANAMKE SABABU YEYE ANATAMBULIWA KAMA MWANAMKE, KISHA AKIMPA MIMBA MWANAMKE HUYO UTASIKIA 'MIRACLE' MASHOGA WAMEWEZA KUPATA MTOTO. UPUUUZI MTUPU.


Wasanii wengi wanao jihusisha na mambo ya ushoga wamekuwa wakijitangaza waziwazi kwenye maisha halisi, ukiacha na yale ya usaniii. Lengo lake hili ni kuwapa nguvu mashoga wengine ambao bado wako njia panda ya uovu wao huo kuwa wasiogope kujitangaza, mbona flani na flani ni wenzetu na wanajitangaza hadharani waziwazi?

HUYU NI MTOTO WA KIUME. LAKINI TANGU AKIWA MDOGO KAMA UNAVYO ONA HAPO WAZAZI WAKE KWA SABABU WANAZOZIJUA WAO, WALIAANZA KUMVALISHA MAVAZI YA KIKE.

GAUNI WAKAMNUNULIA NA POCHI WAKAMPATIA PIA, HATA VIATU WAKAMPATIA VYA JINSIA YA KIKE.
MATOKEO YAKE AKAWA HIVI.



UN NAKO AKAALIKWA KUKUTANA NA BAN KI MOON NA VIONGOZI WENGINE WA KIDUNIA ILIWA TAMBUE UWEPO WAKE, NA WATAMBUE UWEPO WA MASHOGA WENGINE KATIKA NCHI WANAZO TOKA ILI WAWAPE HESHIMA KAMA SHOGA HUYU ANAVYO PEWA HESHIMA MBELE YAO.
ILIMRADI NI KUFANYIWA KILA AINA YA PROPAGANDA ILI WATU WAONE NA TARATIBU WAANZA KULIKUBALI HILO.


Majina makubwa kwenye uliwengu wa sanaa yamejiweka hadharani kuwa wao wanashiriki ushoga na usodoma na gomora.



HUYO NI JOHN TRAVOLTA, WAPENZI WA FILAM LAZIMA MNAMFAHA HUYU, NA HAPA ANAANIKA UOZO WAKE KWA MASHABIKI WAKE WAONE KUWA YEYE NI NANI? JE WATAMFUATA MPAKA HUKO?
 
Heshima kwako great thinker huwa naokota madini sana kwenye post zako... Ingawa sijaskiliza interview nzima ila kuna maswali najipa hapa....

Ni kweli naamini Aliens wapo ila je hyo interview walifanya kwa lugha gani?? Ina maana aliens wamejifunza pia lugha zetu hadi waweze kuzizungumza??

Je kama aliishi uraiani kabisa hali ya hewa ya huku imekuwa favorable kwake?? Anakula nni anakunywa nni?? Yaani survival yao wakiwa duniani inawezekanaje ilihali wapo kwenye mazingira tofauti kabisa

Ni hayo tu kwa sasa
Mkuu nimecheka baada ya kusoma haya maswali yako....

Nimecheka kwasababu naona mkuu una kiu kweli kweli ya kuelewa...

Uzuri ni kwamba haya maswali yako yote yamejibiwa kwenye hii interview,tumia muda wako uiangalie tu mkuu utapata na mengine meengi tu....
 
Hivi ni kweli hawa allies walifanyiwa uchunguzi na kubainika wana damu ya giants na pia wana IQ kubwa mno pia wanaustaarabu fulani
labda hili jibu litakusaidia kwa usomaji wangu tuu ila kuhusu huo uchunguzi unaouongelea sijauona

Je, una aina hii ya damu? Kisha unaweza kuwa mzao kutoka kwa ALIENS
WATU wanao na aina fulani ya damu ni zaidi ya kuwa wazao wa aliens, kulingana na madai mapya.
ya Sean Martin


alien-943487.jpg





Kila mtu katika sayari ana O, A, B, au AB lakini kikundi kidogo kwa hili ni kama mtu binafsi ni Rh chanya au hasi.

Kiwango cha Rh kinamaanisha Rhesus factor, ambacho huleta antigen maalum katika damu - ikiwa damu yako haina antigen, wewe ni Rh hasi.

Asilimia 85 ya watu ni Rh chanya, na kulingana na dai linashangaza, asilimia 15 iliyobaki yetu inaweza kuwa uzao wa alien.

Mtafiti Lara Starr anasema kwamba kama kila mtu alikuwa amebadilika kweli kutoka kwa apes, tungekuwa na aina ya damu sawa.
rh-positive-1299770.jpg


Katika makala ya Sayansi ya kiroho, anaandika hivi: "Katika utafiti wa genetics, tunaona kwamba tunaweza tu kurithi yale baba zetu walivyokuwa; isipokuwa katika kesi ya mabadiliko (mutation).

"Tunaweza kuwa na mchanganyiko wa sifa nyingi zilizotajwa kutoka kwa baba zetu wote.

"Kwa hiyo, kama mtu na ape waligeuka kutoka kwa baba mmoja, damu yao ingekuwa imebadilika kwa njia ile ile.

"Sababu za damu hupitishwa kwa usahihi zaidi kuliko tabia nyingine yoyote. Wanyama wengine wote wa duniani pia wana jambo hili la Rh.


"Ikiwa tumekuwa na mageuzi kutoka kwa babu mmoja, tungekuwa na damu sawa."

Mwandishi wa makala anaendelea kusema kuwa kuna sifa kadhaa za kibinadamu zinazohusishwa na carrier wa hasi wa Rh ikiwa ni pamoja na IQ ya juu kuliko wastani, joto la chini la mwili, maono nyeti na shinikizo la damu.

Bi Starr anaendelea kusema kwamba wanawake walio na damu hasi ya Rh hawataweza kubeba mtoto wa mtu mwenye aina ya Rh biology ya advance hapo kwenye genetic na reproduction haka kaswali walimu wanapenda kukauliza sana.

Anasema: "Ikiwa unafanya, hupata kitu kinachojulikana kama ugonjwa wa Haemolytic. Hii ni mchanganyiko sawa wa mzio ambayo hutokea wakati mama mwenye Rh- akibeba mtoto mwenye Rh+.

alienGETTY
Wazao wa alien duniani wanabeba aina hii ya damu, haya ni madai ya kuogopesha sana
alien-1299772.jpg

Her blood builds up antibodies to destroy an alien substance (the same way it would a virus), thereby destroying the infant.”

However, scientists have dismissed the bizarre claims, stating that the Rh types are simply a by-product of evolution.

The scientific website archaeology review writes that a study “seemed to indicate that there is an evolutionary advantage for a population to have the RhD deletion within it.
 
alien wapo wengi wengine watu ndio wanawatumia kugangia lakini hawajui kuwa ni alien kwa ufupi alien wanahusisha pia mamonster na hawa alien wanaakili kubwa kuliko sisi ndio maana wanaishi na sisi bila kujua angalia report ya baadhi ya alien walionekana hapo na walivyowaajabu je wakiichafua dunia utakuwa wap?
Boss bila Shaka na wewe huwa unamtembelea Salim msangi kapata vitu adimu vya siri za ulimwengu.....! Ila ukisoma post yake ya je tupo wenyewe kwenye ulimwengu? Ameelezea vyema kuhusu hao viumbe aliens....

Na ikaonekana hao viumbe hawatoki sayari nyingine wala nini ila wametengenezwa tu kwa mission maalumu
 
Boss bila Shaka na wewe huwa unamtembelea Salim msangi kapata vitu adimu vya siri za ulimwengu.....! Ila ukisoma post yake ya je tupo wenyewe kwenye ulimwengu? Ameelezea vyema kuhusu hao viumbe aliens....

Na ikaonekana hao viumbe hawatoki sayari nyingine wala nini ila wametengenezwa tu kwa mission maalumu
ndio huko pia napita pia mimi natengeneza na document zangu ila leo nimepita sana kwakwe

hao wapo huku tayari si ndio haya mapepo na mizimu tunayoisikia now
 
Hizi ni hadithi za kusadikika na kujitafutia umaarufu tu.

Ikiwa ulimwenguni tunatofautiana ijapo masaa, kwa baadhi ya nchi manane na zaidi, kwa hoja hii tu akili yangu haikubaliani na uwepo na uwezekano wa hili jambo..
 
MASWALI TUNAYOPASWA KUJIULIZA

• kama Kuna 24hrs kabla ya alien kuja. Utafanya nini?
• Je, kuna ushahidi wowote wa kuwepo kwa maisha ya alien nje ya dunia?
• Je, mwisho wa ulimwengu ni lini je blue beam project itakamilika lini?
• Je, UFO na alien hivi vitu vipo? Je, mtu yeyote amewaona alien? Je! Una ushahidi wowote?
• Nini kitatokea wakati alien watakuja duniani?
• Kuna uwezekano wowote kwamba alien pia wanaishi duniani kama wanadamu?
• Inawezekana kwamba alien ni watu tu wa baadaye?
• kuna wezekano gani kuwa alien wametembelea Dunia?
• What is the probability that extraterrestrial intelligence exists?
• Je, NASA inafunua ushahidi wa maisha ya alien wenye akili?
• Mradi wa sayari ya bluu (blue planet) ni nini? Je! Ni kweli?
• Je, NASA inakiri au kudanganya kwamba hawana mawasiliano na alien?
• Watu wa NASA wanafikiri nini kuhusu wasomi wa kale wa alien?
• Nini mradi mkubwa wa NASA?
• Ni miradi ipi NASA inayofanyia kazi sasa?
• Kwa nini NASA hadi sasa haipati mabaki ya alien kwenye solar system?
• Je, NASA iko tayari kukabiliana na uvamizi wa space alien?
• Je, Mradi wa Kuunganisha Binadamu unaweza kuwa ufunguo wa kutokufa?
• Je, Mradi wa blue brain utafanya kazi?
• Mafanikio ya hivi karibuni ya Mradi wa Blue beam au blue brain ni nini?
• Tunawezaje kutumia ubongo wetu 100% ili kuelewa kuhusu mambo yaliyo nje ya mizazi ya dunia?
• Tunawezaje kuwa na imani katika Yesu kuja tena?
• blue beam project watatengeneza vipi earthquake?
• blue beam project itamleta vipi mungu fake?
•je kuna uhusiano kati ya blue beam project na illuminant?

JIBU MASWALI UNAYOYAWEZA NI VIZURI UKAELEZEA IN DETAIL
taged someni maada mchangie kujibu au kujadil hayo maswali
Pendael24
za chembe
lucas mobutu
Graph Theory

Bujibuji


nashukuru sana mkuu Francis3 kwa kunitag japo uzi ni wa muda kidogo lakini nami nimeona nitie neno langu kidogo kulingana na mada husika na michango ya wadau wengine.

kwamba saa 24 kabla ya alien kuja nitafanya nini?
kwanza ni kubali kuwepo viumbe wengine ambao labda hawaja fanana na sisi wanadamu kwa kua wao ni viumbe na yupo muumbaji na huyo muumbaji amesema sisi wanadamu ni bora kuliko viumbe vinginevyo vyote basi sipaswi kutishika na ujio wao.
lakini pia wengi wetu tumejengwa katika msingi wa maandiko matakatifu ambayo tunanaishi hadi leo hii, na maandiko hayo hayajatoa utabiri wa hatari ya mwanadamu kushambuliwa na viumbe vingine labda iwe andiko hilo sijaliona.


ushaidi wa uwepo wa alien hauna udhahiri wa moja kwa moja kwa maana tumesha tahadharishwa tunayo ambiwa mengi ni uwongo na machache ndio ukweli nao umefichwa. sasa sisi taarifa za ujio wao na uwepo wao tumeletewa na hao wanatudanganya kwa hio hatujui tunaongopewa au laa. lakini hilo haliondoi uwepo wa maisha ya alien nje ya dunia.


kuhusu mwisho wa dunia bado ni mtihani mkubwa sana kujua ni lini. kwa mfano, mimi ni Mkristo na moja ya maandiko ya husuyo mwisho wa dunia aliosema Yesu kwamba, hakuna yeyote anaejua mwisho ni lini hata yeye mwenyewe ingawa ndie kiashiria kikuu cha mwisho kufika hajui ni lini isipokua Mwenyezi Mungu pekee.
utaona pia walishatokea watabiri miaka ya 1800 na kuendelea walitabiri kwa kupiga hesabu zao wakaona mwisho umefika lakini mpaka leo tupo. na unaweza ukasema nyakati hizi mwisho umekaribia lakini kusema ukweli hakuna mwenye jibu hapo.

niliwahi kumsikia padri mmoja akisema hakuna kitu jehanam wala mwisho wa wa jumla wa dunia, nikamuuliza iwezekana vipi neno lako hili? jibu alilonipa ni kwamba watu hatujui kutafsiri maandiko ikanibidi ni nyamaze tuu maana ni kiongozi wangu wa kiroho siwezi kubishana nae.

huo mradi wa blue beam kwa maelezo yako na ya wadau wengine na tafsiri yangu utakamilika wakati ule ulio kusudiwa.
nikiri maandiko hayadanganyi, Mungo yupo aliumba mbungu na ardhi na katika ardhi alimuweka mtawala nae ni adamu na uzao wake.kwa bahati mbaya adam akapoteza nguvu fulani aliopewa na Mungu kwa kushawishiwa na shetani alie muasi Mungu.

Mungu adhamiria kufanya malipo ya makosa ya adam kwa Yesu Kristo alie mwana wake.

huyo Yesu alipotimiza hayo malipo alirejea alipotoka, lakini alisema atakuja tena kutimiliza hayo malipo na kumrejeshea adam na uzao wake kile alichopoteza yaani uzima wa milele. ila alitahadharisha ya kua, yule aliesababisha makosa ya kwanza bado yupo na anafanya kazi, na kabla kuja kwake mara ya pili Yesu huyo shetani atasimama na kusema yeye ndie yesu na kuwadanganya wengi lakini ni lini? wakati uliopangwa utakapofikia..

kwa hio kama huo mradi wa blue beam ndio utakao msimamisha shetani basi hauna budi kukamilika maana maandiko hayasemi uwongo. lini utakamilika ni wakati uliokusudiwa.

nikutakieni kila jema tuendelee kujuzana ambayo hatukujuzwa...
 
Back
Top Bottom